Chalamila awe makini na kauli zake ili zimlinde mbele ya safari. Nadhani amesikia kilichoamriwa Dodoma na mabosi zake. Yeye amechagua kuwatisha wafanyabiashara, mabosi zake wameamua kukaa meza moja na wafanyabiashara kwa sababu walikuwa na hoja na wamemaliza kikao bila vitisho vya jeshi kama...
Chalamila, very sorry for mkuu. Hv Kariakoo umekwenda kusikiliza shida za wafanyabiashara au umekwenda kuwapa vitisho? Nikueleweshe tu, jeshi ni taasisi kubwa na nyeti kwa usalama wa nchi, huwezi kuitajataja kirahisi hivyo. Kuwa makini na kauli zako. Kumbuka Rais Samia wakati abakurejesha kwenye...
Ni wazi VP atatoka AD na haya ndio makubaliano. Hata baadhi ya waafrika wenyewe wameona ni bora wazungu waingie serikalini kwa sababu ufisadi ni mkubwa ndani ya utawala wa ANC. Mauaji yasiyokoma, unyanyasaji wa kiwango kikubwa hasa wanawake, wizi, ukosefu mkubwa wa ajira ni mambo yanayowasumbua...
Hamas wangapi wameshakufa hadi sasa? Angalia raia wanaokufa na idadi ya magaidi wa Hamas wanaokufa pia. Ni vita yenye malengo kwa Israel, lakini iliyokosa usahihi macho na badala yake inaumiza raia wasiokuwa na hatia hasa wanawake na watoto haijalishi upande gani umejeruhiwa sana. Hii ni kwa...
Wazungumzaji wa lugha ya kiswahili ni zaidi ya mil 150. Chukulia mfano, Tanzania, Kenya, Kongo na Burundi zote hizi kiswahili kinatumika sana. Ongeza Uganda na Rwanda ambao kiswahili kinazunguzwa japo kwa kulazimisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.