Alijaza viroba vya mchele kwenye Ndege na akalazimisha kuondoka na tail wind against ushauri wa wana anga waliomshauri asubirie saa nne kamili ili hali ya upepo iwe nzuri!
"Vita baridi" ya chanjo za Covid 19 imeanza:
1. Uingereza wana chanjo ya kwao.
2. Marekani wana chanjo ya kwao.
3. Urusi wana chanjo ya kwao.
4. Uchina wana chanjo ya kwao:
5. India (yenye watu zaidi ya bilioni, imesema itanunua kwa Mwingereza (ambao ni ushindi au zawadi ya kwanza tangu...
*
MUKOKO
Mechi 4
goli 1
Assist 0
Dube
Mechi nne
Goli 3
Assist 3
MESHACK WA GWAMBINA
Mechi : 4
Goal : 4
Assist : 2
Mchezaji Bora MUKOKO
Au Kuna Kigezo Kingine Kimetumika Ili Kumpata Mchezaji Bora
_*Anaejua Tuelimishane Kidogo
Rostam Aziz akanusha taarifa ya kutaka kununua Yanga SC hisa zenye thamani ya dola milioni 19. Aseme yeye si muumini wa mfumo wa kuuza hiza kuendesha vilabu vya soka nchini.
“ taarifa zinazoendelea mitandaoni ni za uzushi na hazihusiki na mimi kwa namna yoyote ile . “
Maharage miti, nani anayajua vizur? Miti yake ni perennial sio kama maharage ya kawaida, mkulima amesema amepata Tanga ila mm nimeona gairo uzuri wake unagrow maeneo ya ukame, swala la pili ni juu ya nutritional value yake jee iko sawa na maharage ya kawaida?
17/4 Coastal Union vs Simba SC
20/4 Kagera Sugar vs Simba SC
23/4 Alliance vs Simba SC
26/4 KMC vs Simba SC
28/4 Biashara UTD vs Simba SC
1/5 Prison vs Simba SC
3/5 Mbeya City vs Simba SC
Sasa ile kauli mbiu ya DO OR DIE iendelee hapa.
-Siku Tanzania inacheza na Uganda kwenye pambano lililo ishuhudia Taifa Stars ikiungana na Cranes kwenye safari ya Misri kuna kitu niliwaeleza watu niliotazama nao pambano hilo.
-Niliwaambia kuwa iwapo Emmanuel Okwi atapangwa ni wazi atakuwa kwenye wakati mgumu sana, mimi huwa ninasema Okwi ni...
-Kuna uwezekano klabu ya Eveton ikacheza na klabu ya Simba badala ya bingwa wa mchuano ya Sportpesa Super Cup 2019 kutokana na timu zote ambazo zimeingia Fainal hazidhaminiwi na kampuni hilo. Bandari, Kariobangi Sharks na Mbao zilikuwa timu mwalikwa kwenye michuano hiyo. Huku timu tano Simba...
-Kila la kheri Simba SC wapigeni pigo la moyo JS Saoura leo na ushindi wa mechi ya leo utawapa nguvu ya kupambana mechi zinazofuata Mungu ibariki Simba, Mungu Ibariki Tanzania.
1-Manula
2-Gyan
3-Hussein
4-Wawa
5-Juuko
6-Kotei
7-Chama
8-Mkude
9-Bocco
10-Kagere
11-Okwi...
" Nawaomba wana Yanga wasije wakafanya makosa siku ya Jumapili, nawaombeni sana mchagueni Baraka Igangula. . kijana mstaarabu na mwenye nia ya dhati kuipeleka Yanga mbele, atatujengea uwanja na kujenga ghorofa pale Mafia hata akaunti yetu ya Bank itakuwa na pesa kama kipindi kile cha Iman...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.