Recent content by josp

  1. J

    Kariakoo nao wanafanya utafiti wao

    Kwani turiani ni dar?
  2. J

    Wasanii wa Bongo fleva wakipiga push up kumuunga mkono Dk. John Pombe Magufuli

    Mtapiga sana pushups mwaka huu ila ikulu pombe haiendi
  3. J

    Tumeshamjua ni nani ana kampeni za kistaarabu! Anapata kura zetu

    Lowasa tosha. Magufuli yanini? Hapa zika tu ccm.
  4. J

    Kwanini Lowassa atashinda Uchaguzi Mkuu wa Oct 25

    Hadi leo tarehe 21 September LOWASA 71% MAGUFULI 21% Wagombea wengine kwa pamoja 6%. People's ssssss
  5. J

    Bulembo: Hatutawaruhusu upinzani kwenda Ikulu

    Eti hivi BULEMBO ni darasa la saba Eti?
  6. J

    Msaada: Tafsiri ya hii ndoto

    Maana yake wewe ni mtu wa kutoa rushwa.
  7. J

    Dr. Slaa avuliwa nguo, dili alilipanga Josephine. Alonga na Mwakyembe kabla hajaingia kwenye mkutano

    Ulitaka akitubu aje kukuambia ametubu? Suala la toba ni la mudachache ndugu.
  8. J

    Dr. Slaa avuliwa nguo, dili alilipanga Josephine. Alonga na Mwakyembe kabla hajaingia kwenye mkutano

    Fisadi na aliyenunuliwa kwa bei cheee nani mbaya.?
  9. J

    Nimesikiliza audio ya Didas Masaburi, anatakiwa kushitakiwa kwani anaratibu vijana wengine

    Hivi kwanini watu wanang'ang'ana kumzuia LOWASA asiwe rais ikiwa MUNGU amemkubali? Hivi kuna mtu anaweza kupinga mpango wa MUNGU? Watamtukana sana lakini wataona LOWASA yuuleeee anaingia ikulu. Hivi watu hawajui kuwa wafalme huwekwa na MUNGU? Nini maana ya miaka 50 ya utawala wa CCM? Maana...
  10. J

    Asumpta Mshana kumshtaki Edward Lowassa!

    Kwanini watu wanang'ang'ana kumzuia lowasa asiwe rais ikiwa MUNGU AMESHAMKUBALIII? AU hawajui kuwa haya ni majira ya LOWASA kuwa rais? Hata kama wangesema LOWASA ni mbaya kiasi gani. MUNGU ameshamchagua hakuna wa kuweza kupinga.
  11. J

    Shinyanga mjini, wafuasi wa Dr. Slaa wahama CHADEMA

    Hao vijana wamehama cdma; wamehamia chama gani?
  12. J

    CHADEMA msijidanganye, Dr. Slaa hayuko peke yake

    dr. Slaa hajabomoa bali amejenga. Ukitaka kujua kama amejenga angalia muda aliotumia kujenga hiyo nyumba. Kwa miaka zaidi ya kumi dr slaa amekua akiijenga cdma. Kwa hiyo hawezi kuibomoa kwa dakika 10 hata kama ingekuwa ya nyasi.
  13. J

    Zaidi ya wagombea 30 ubunge wa CCM waliopitishwa kujiunga na UKAWA Jumamosi

    Kwa wale wenye uhakika wa kushindwa hata kabla ya kura ndio watakaojitoa. KARATU; ROMBO, ARUSHA, KIGOMA, KASKAZINI, HAI, SIHA, KHA! kumbe sio 30 is more than 65.
Back
Top Bottom