Recent content by josminga

  1. josminga

    JamiiForums Tanzania Hivi unajisikiaje unapotumia choo cha kukalia?

    Ndo ukute sehem Kuna baridi sio poa kukalia hicho choo
  2. josminga

    JamiiForums Tanzania Unyakyusani na sherehe za Krismasi na Mwaka mpya miaka ya zamani

    Kandete [emoji123][emoji123]
  3. josminga

    JamiiForums Tanzania Unyakyusani na sherehe za Krismasi na Mwaka mpya miaka ya zamani

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  4. josminga

    JamiiForums Tanzania Nahisi sina bahati na biashara

    Na hio biashara ina mifumo mibovu sana kaka kuanzia ziwan hadi sokoni hapo mwanza kiukwel mm sikushauri ufanye hio biashara bora ulime mahindi visiwan huko au ufanye biashara yoyote hata uchinga utatoboa kisiwan huko lakin samaki ujipange na utajiona una mkosi kumbe mfumo wa biashara ni mbovu
  5. josminga

    JamiiForums Tanzania Nahisi sina bahati na biashara

    Ila hio biashara kudhamin kununua nyavu sijui kumiliki wavuvi ujipange lasivyo utapoteza kila kitu
  6. josminga

    JamiiForums Tanzania Kanda ya ziwa karibia Kila familia Ina mganga wake wa kienyeji

    Ila haya mambo kila sehem yapo naish na ndugu zangu waha da kila kitu wanafanya kwa kutegemea uganga chale hirizi kawaida sana kwao
  7. josminga

    JamiiForums Tanzania Kanda ya ziwa karibia Kila familia Ina mganga wake wa kienyeji

    Mm nimeishi sengerema kuna visiwa vinapatikana wilaya hio yan swala la waganga na ushirikina kawaida sana hakuna mtu anaendesha shughuli za uvuvi bila ushirikina yan ipo wazi ukienda kwenye maduka salooon vitu vimening'inizwa ukiuliza utajibiwa ulinzi huo kiukwel ndugu zetu hao wanaminia sana...
  8. josminga

    JamiiForums Tanzania Changamoto wanazopitia vijana wetu mpaka wanakuja na kampeni za kataa ndoa

    Nimesoma michango ya wachangiaji kitu nilichokuja gundua ni shida ya tafsiri ya maneno haya wawili KUOA na NDOA kundi linalo kataa ndoa linakubali mfumo wa kuoa na kundi linalo washangaa wanao kataa ndoa halielewi mfumo wa kuoa ila wote hapo wanahitaji kuishi na mwanamke kupitia KUOA au NDOA
  9. josminga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania NASA kuwalisha wafuasi wao kabla ya kuanza maandamano

    Sasa kaka kwann asiprotest kama utawala huo huo ndo imemfanya aishi kwenye mazingira ya kimaskin japo ana biashara zake watu wanahitaj haki kaka sio kisa maskin ndo kila kitu kiwe ndio watu washapoteza maisha kisa kusaka hak zao na vizaz vyao vilifaidika acha mama apambane watoto zake waje...
  10. josminga

    JamiiForums Tanzania CCM muombeni Mh Rais aongoze kipindi kimoja tu apumzike

    AaaZ
  11. josminga

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    ZB V
  12. josminga

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    [emoji47]
  13. josminga

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    [emoji47]
  14. josminga

    JamiiForums Tanzania Siku 600 za Rais Magufuli IKULU bila kwenda nchi za Ulaya ni maamuzi magumu. Yule asingeweza...

    Qs Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
  15. josminga

    JamiiForums Tanzania Shabiki avamia uwanja na kumkumbatia Rooney

    .z5a33o ZYzz23 Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom