Huo ni uongo na kumchafua mzee wa T.o.T hii nchi bhanaa!! Kwan nan hajui ku2mia mashine (pc) ku edit picha?? UONGO tu huo! Wajinga wameamin ila ukiangalia Vizuuurii hzo pich zmetengenezwa!! Chezea picaso ww!!
Ah ah..!! co kwamba wanalingishiana ukubwda. Sem km ukumbin ama kuchmba dawa pale kutizamana inaweza kutokea sasa jamaa anahofia hyo kusema anahc wakimuona watamcheka ama kumshangaa!
Gwajima kwann amchukue mtt aliebakwa?? Halafu kwann baada ya flora kukwaruzana na mumewe gwanjima akampangishia flora gest?? Mbasha anaongea kwa huzuni sana. Tofaut na mkewe ambae kang'ang'ania jamaa aende polisi.
(may b gwanjima na flora wanataka kuwa free vizur)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.