Nchi zilizo mwanachama wa EU zinakatiba insyofanana kwa kiwango kikubwa na Sheria za nchi na nchi hazimzuii mwananchi wa nchi flani kukosa uhuru changamoto ipo hapo cos uturuki kunamambo anastaili ayarekebishe ambayo ni magumu kwa uturuki cos wao bado wanalinda dini zaidi
Zamani tulikuwa huru sana nchi ilikua nzuri hii tuliijua mitaa na mitaa ilitujua ilikua hakuna uwezekano wa mtoto kufanyiwa ukatili wa namna yeyote japo watoto wakike walikua na mipaka yao ya kutembea ila watoto wakiume hakuna Kona hatukuijua
Watoto wa kiume nakumbuka tulitambuana kwa marika...
Eneo hilo Kuna lavakali inayozunguka speed ambayo haipo kwenye dunia Kwa Sasa pia kuna maji yanayozunguka speed kupishana na huu uji wa volcano hapo ndipo mlipuko wa muundo wa dunia ulianzia
Tanzanite ilijitengeneza kutokana na mfumo wa joto Kali na namna maji yalivyokua yanakimbia moto wa kivolcano
tanzanite kuwa kwenye eneo lenye maji na pambapamba kulisababishwa na kufunga nakufungua kwa hali hiyo ya mkimbio wa lava na maji
Jabali linalokaa na tanzanite nijabali lililooza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.