habari wanajf. Naomba kujuzwa kama kuna mtu aliyewahi kutumia iyo app ya tz,je inafanya kazi kweli au ni matapeli kama softbox tanzania
inapatikana kwenye link hii apa. www.spymobiletanzania.wapka.mobi
tanzania ninavyofahamu hatuna mfumo wa ZIP(zone improvement plan) code na POST(power-on-self-test) code so ishu inakuja pale nikiacha blank registration haiwezi kukamilika wanaxema zip code is required,na sisi hatuna huu mfumo. Anayejua aya mambo atusaidie maana ni shida na pia wakati wa...
Habari wanajf,samahani naomba mnieleweshe maana ya ZIP CODE/POSTAL CODE na uwa zinakuwaje maana nikifunguaga baadhi ya account online uwa wanahitaji ZIP CODE/POSTAL CODE. Leo nilikuwa najiunga na PAYPAL nikashindwa kuhitimisha zoezi la registration coz wanahitaji ZIP CODE
habari wanajf,samahani naomba mnisaidie free software ya kuangalia TV online mfano AZAM,TBC,STARTV,CLOUDS etc kwa kutumia PC(LAPTOP) bila kulipia,ahsanteni sana,MUNGU AWABARIKI.
habari wanajf,samahani kuna ukweli wowote kuhusu hii software inayoitwa SOFTBOX TANZANIA iliyogunduliwa na mtanzania mwenzetu anayeitwa WILLIAM BRAXTON,je kwa mliojaribu kutest inafanya kazi vizuri?
habar nahtj mwanamke awe mzur na mrembo,model. Elimu from diploma to bachelor degree,age:18-25,awe virgin,mkristo,asiwe mfupi wala mnene. Kabila lolote. Aliye tayar anipm
habari wanajf??naomba mnisaidie kama kuna remote ya kuwashia au kuzimia laptop(PC),ctak kutumia keyboard au mouse nahtaj remote kama ipo na inapatikanaje na bei yake kiasi gani. AHSANTENI SANA
Habari ndugu zangu naomba mnisaidie program or software ya kugenerate random numbers mfano kwenye jackpot ya meridian betting tanzania,zile number zinatokaje??ule mchezo wa betting wa atleast(keno).... Plz naombeni msaada wenu maana kila siku uyu mzungu anakula hela zangu tu.
Habari naomba mnisaidie vyuo ambavyo vinatoa pre university courses/short courses kwa ajili ya kujiunga na university especially engineering,computer science,applied statistics,natural science.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.