Nimetafuta hii kitu lakini....

Nimetafuta hii kitu lakini....

Nasikitika kusema hamna software ya namna hiyo... pole sana, kwa akili yako unadhani kampuni ka facebook wakijua software ipo ya kuhack password zako unadhani hawatoichukua waistudy then wablock technique inayotumika??
 
nasikitika kusema hamna software ya namna hiyo... pole sana
kwa akili yako unadhani kampuni ka facebook wakijua software ipo ya kuhack password zako unadhani hawatoichukua waistudy then wablock technique inayotumika??

Umempa jibu zuri sanaaa mkuuu... Wanadhani kila kitu ni apps na software..
 
Back
Top Bottom