Mnaopewa nafasi za kutumikia wananchi mfanye kazi hizi kwa ufanisi na siyo kuwaza tu manufaa yenu binafsi.
Kituo cha afya kilichokuwa kinatumika kama hospitalivya wilaya kinakosaje jenereta?
Yaani wagonjwa wanakosa huduma kisa umeme hakuna kweli, hizo elfu 10 za kufungua faili zinakwenda wapi...
Wakuu heshima kwenu.
Kuna jamaa angu analalamika ulaji wa wa data kwenye simu yake, unaweza kukuta 2gb sinakata mchana mmoja tu ila matumizi yake anadai ni ya kawaida tu.
Nilipocheki Data Usage kwenye simu yake niliona kinachotumia data kwa wingi ni "Simcard Traffic ." (Sikumbuki vizuri maneno...
Hawa miamba kila msiba wa watu mashuhuri hawakosi kuingia studio na kutengeneza nyimbo za maombolezo na misibani hawakosi kuweka kambi.
Huwa najiuliza hawa jamaa kweli ni usanii tu, ukaribu na familia au maokoto? Mpoto anisamehe sijawahi kumwelewa kabisa[emoji19]
R.I.P Lowassa.
Wakuu bila shaka huu siyo msamiati mpya ila kama mjuavyo inawezekana jambo unalisikia miaka mingi tu na kulielewa juujuu tu ila ukitakiwa kulieleza kitaalamu ukakwama.
Nimepita ukurasa fulani mtandaoni jamaa anasema wanauza iPhone 15 Pro Max 512Gb ila copy (sh laki 4) ndo nkapaata mshawasha wa...
Wakuu mnaoishi huko kwa Chalamila hali ikoje?
Ndugu zenu huku hali ya umeme imekuwa tete mno yaani sasa hakuna hata ratiba ya kukata tena.
Ni nini siri ya hili tatizo wakuu mbona mvua nyingi mno?
Wakuu habari,
Nina safari ya Musoma kutokea Arusha kwa basi, nimepata basi la Mwanza hivyo itanibidi kulala Mwanza kisha niendele na safari siku ya pili.
Kwa kuwa ndio mara yangu ya kwanza kusafiri kuelekea huu ukanda nkaona niombe ABC za ninakoelekea kwa maana pa kushukia, mtaa wa kulala...
Wazee wa kuweka mzigo naomba mwongozo kuhusu football betting app nzuri.
Uzuri kwa maana ya urahisi wa kutumia, odds nzuri, ulipaji wa haraka, wigo wa masoko n.k
Sawa mkuu ila shida yangu kubwa ni watoto kupata haki ya kutambulika kama mimi ni baba yao, ndo nawaza pengne lile jina lirasimishwe kama jina langu hata kama sitobadili hili la sasa.
Kwani siwezi kumiliki majina mawili??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.