Kwahili hats mimi sijaona shida kuiita pesa yetu no madafu sababu neno pesa ya madafu inamaanisha dafu halijawahi au muuza dafu hawezi kupanga being ya dafu kwa gharama za kigeni. Name dafu laliwa lachokolewa sana hapa kwetu mpaka twapata tezi Duke Yakheeee
Ngoja nikusaidie Sugu ni form six na ana exposure ambayo akisimama na wewe na kadigirii kako ka Kata lazima uzime zako. Alipoenda ulaya alifanikiwa hata kurudi na vifaa vyake sio huyo Krisslukosi wenu mpaka leo anabeba box, akirudishwa bahati mbaya hajui ataanzia wapi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.