Ukisema mzinifu unamaanisha nini?
Kuzini ni nini?tumieni hata nywele chache kufikiri.
Tatizo mnatumika kama condom je hujui huyo unayemtetea anamaajabu mengi ?
Kuzaa na Waheshimiwa kadhaa ni nini na aishi nao?
Stop nonsense speak the reality.
Mmepafanya hapa kuwa genge la wachumia tumbo,hakuna...
Tanzania bwana,
Inatakiwa Kuingizwa kwenye maajabu ya Dunia.
Maana mambo tunayofanya ,yanatufanya wote tuwe kituko na kivutio kwa wengi.
So what next after those Ndiyoooo!!!!
Tatizo ya ushabiki usio na kiasi,ujinga uliopitiliza wa kutotaka kujifunza.
Enzi za Mwalimu Tanzania ilijengwa na watanzania wote.
Julius K Nyerere hakuwa tu msimamizi alituongoza kwa mifano na sote tukiwa shuleni tulitanani kuifanyia kitu nchi yetu.
CCM ni ya 1977 na hapo ndipo ulanguzi na...
Mimi namuomba Mungu tuendelee kwa style hii tu,naamini ipo siku wale wote mnaojifanya hamelewi leo mtaelewa tu.
Kwanini Kanuni itenguliwe?na imetenguluwa lini? Ia
Pili walisema Raisi ndiye atakae zindua Bunge iweje leo wabadili.
Siri nayoiona hapa ni Rais amejipanga ili apangue hoja za...
Heshimu sana mdomo wako maana ,maneno yako ndiyo shimo lako.
siku yaja na si mbali maneno ya vinywa vyenu yatawahukumu.
asanteni sana kwa maneno yenu ya dhihaka za namna zote.Ndiyo yanayotupa afya.
ashukuriwe aliye tuumba na kutufanya tuishi mpaka leo,kwani yeye anaijua kesho yetu ndiyo...
Tabia aliyonayo baba yako si Tabia yetu sote.
Tangu niishi na Dr miaka Sita sasa sijawahi kumpeleka hospitali nje ya nchi kwa Maradhi yoyote,kwa hili namtukuza Mungu anayemtunza Na maombi ya watanzania wengi yanampa Afya njema.
Kwa taarifa yako,Afya Zetu ni imara Sana maana Yupo aliyebeba...
Asante sana, your atitude reveals to me who you are.
basi naomba itoshe kusema,kwakuwa moja ya kazi zako ni kumonita na kucontrol mabandiko yote ndani ya jukwaa hili,kafanye homework yako vizuri,rudi kwenye mabandiko yangu ya jana,urejee hapa utupe jibu nini umegundua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.