Recent content by Josephat Jose

  1. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Hivi unaweza kuendeleza mapenzi kwa mwanamke muongo?

    Kwenye hili wahanga ni wengi sana. Hapa ngoja niwaandikie hiki kituko. Kuna hiyo manzi nilitokea kuikubali ile mbaya basi mipango ya kimaisha ikafanyika. Baada ya muda ikasema ina mimba. Siku zilienda ikajifungua. Niligundua mtoto hakuwa wangu baada ya kutunza mimba tangu ikiwa changa miezi...
  2. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Mwananchi anyimwa fursa ya kuuliza swali kwa kuanza swali la kusema waliosaini sio Watanganyika

    Hapa hapa tz kuna mwenye moyo wa kumwendeleza jirani yake? Hiki kilichotokea kinafikirisha.
  3. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Kila Mtanzania anapozaliwa anakuwa mwana CCM

    Nacheka tu kama mazuri vile.
  4. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Kama huna fursa ya kujifunza sogea hapa nikupe madini

    Madini yameshatolewa kwa uzuri kabisa.
  5. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Kama huna fursa ya kujifunza sogea hapa nikupe madini

    Kuna jamaa yako ana smartphone na hajui afanye nini? Una smartphone ambayo haikupi hela wakati unaiwekea bando? Kama jibu ni ndiyo basi sogea hapa ujifunze fursa muhimu ili utumie bando lako hilo hilo kwa manufaa. Ninahitaji watu 100 tu kujifunza kwa siku ya leo na kesho. Kianzio ni...
  6. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Life has two sides to choose wisely

    A wise man once said "Hate has 4 letters but so does Love. Enemies has 7 letters but so does Friends. Lying has 5 letters but so does Truth. Cry has 3 letters but so does Joy. Negativity has 10 letters but so does Positivity." Life is 2 sided, choose the better side of it.
  7. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Punyeto imeua uume wangu

    Jukumu la aliyekuvulia nguo ni kuhakikisha anakupikia msosi wa kueleweka ule ushibe mambo mengine yaendelee. Wanawake wa zamani walifanya hivyo na walipata huduma za kueleweka toka kwa babu zetu na hakukuwa na malalamiko wala manung'uniko kama siku za leo. Kiufupi wanaovua nguo wakati...
  8. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Idara ya maji ya mkoani kwenu inaitwaje?

    Dar es Salaam kuna DAWASCO. mkoani kwenu kuna nini?
  9. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Fahamu virefu vya baadhi ya maneno yaliyofupishwa

    Halafu kuna ile ya Bomboclaat
  10. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Wanaume tuliooa, nini tufanye maana hii kasi ya usaliti inatia shaka?

    Punguzeni malalamiko, utakuta anaelalamikia wanawake kuhepuka na yeye ana ka uhusiano kasikokuwa rasmi nje ya hiyo ndoa husika. Mwanamke akishajua hilo unahisi atareact vipi wakati na yeye kuna Hamis anamsumbua kila siku na anambania? Suluhu ni kila mtu kufunga mlango wake.
  11. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Hivi ni Mkuu wa Jeshi au Mkuu wa Majeshi

    Jeshi la kujenga taifa ndiyo ninalolijua. Hayo majeshi unajumuisha na m23 nje ya mipaka? Kwanza kule ni waasi siyo jeshi tena[emoji16][emoji16]
  12. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Fahamu virefu vya baadhi ya maneno yaliyofupishwa

    Ahsante hii sikuijua hapo kabla
  13. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake tunaoolewa na wazee tunanyooshewa vidole na jamii?

    Hiki ni kitu ambacho hata hakijazoeleka sana kwenye jamii, pamoja na mmomonyoko wa maadili.
  14. Josephat Jose

    JamiiForums Tanzania Kwanini Dar kuna shida ya maji wakati bahari ipo hapo hapo?

    Maji ya bahari hayawezi kutumika kwenye matumizi ya nyumbani mpaka yafanyiwe utaalam wa kuyaondoa chumvi. Nafikiri technolojia kama hiyo ingekuwa inafikiwa kirahisi ingepunguza sana adha ya maji mjini.
Back
Top Bottom