Recent content by Josêph M Mike

  1. Josêph M Mike

    Rais Magufuli amteua Humphrey Polepole kuwa Mkuu wa Wilaya ya Musoma

    Halafu ukiikosoa serikali,vipindi havitaruka hewani. Ni jipu
  2. Josêph M Mike

    Binti Mtanzania wa miaka 16 ahutubia Umoja wa Mataifa

    Ogokaya gete. Mwka huu Wasukuma mtatukubalije!? Natale onene...
  3. Josêph M Mike

    Binti Mtanzania wa miaka 16 ahutubia Umoja wa Mataifa

    Nimependa binti alivyohutubia kwa kujiamini, lakini ningefurahi zaidi mimi binafsi kama hapo mbele ya jina "Clement" kumgekuwa na jina jingine kama G.Clement Masanja, G.Clement Mahigi n.k Wakati mwingine majina hutambulisha utaifa na utamaduni wetu. Hongera binti kwa kutuwakilisha vyema kama...
  4. Josêph M Mike

    If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

    Lkn c nmesikia Muungwana mmoja anamaanisha kutujulisha kitu kama "You Can command God to do something 4 U na akaBless na Iwe" ("When a man impregnate a woman is he forcing God to produce a new soul") na ni kweli inavyoonekana kuwa Muumbaji wa vitu vyote ni Mungu. Sisi ni waagizaji tu...
  5. Josêph M Mike

    What if New World Order becomes true?

    Wavivu wa kusoma utawajua tu!!! We umeambiwa kasome unaanza kujiteresha hapa. Kama una nia ya kutaka kujua c ukasome tu. Na Bible huwa ina nguvu c ajabu, Bila haya kuangaika sana unakutana na point za Topic husika zenye kukupa majibu yako. Bible ni kitabu KIKUBWA! Fikiria tu. Walioyaandika...
  6. Josêph M Mike

    How To Become A Vampire- By Rakims

    Umejuaje,,...? Je kama Alinyonya Damu?! Halafu umesema huwa Hawapend kujionesha/kuonekana..! Sasa kama angeFeed,..Mass yote ile c kungekuwa na WWV ( World War Vampire). Conclusion:Vitu Hvyo Bado Vipo Kwenye Fikra Za Baadh ya Wa2/Watafiti. Bt Physically they Do not Exist! Jamani tuna Vyombo...
  7. Josêph M Mike

    Historia ya Osama Bin Laden na IS

    We Mdogo Vp? Kwan huyu jamaa ana Akili Ndogo Kama Zako ambazo Haujui uko kwenye Jukwaa Gan? hapa Ndo Mahali pake kama hujui jibu pita hv...Uh dat ... Full of shit... Coz yu tawkng lyk yuv cloxd yo mouth en let yo ass tawk...y dnt yu sht up b4 yew get smakd d fuk uhp... [Wakaya] endelea na...
  8. Josêph M Mike

    Jifunze English tenses kwa Kiswahili

    Na nikisema: (a) "I came but I did not found you" Nikiwa namaanisha kuelezea mda ambao umepita yaan: found = si-ku-ku-kuta. (b) "I came and I did not found you" Nikiwa na maana ya kuonyesha uwezekano wa kuwepo kiunganishi/bridge/conjunction katika sentenc hyo: "...came-and-I did not... =...
  9. Josêph M Mike

    Which countries in AFRICA have the best intelligence agencies?

    Wewe naona unafikiria kuigiza Bongo Movies. Unafikiri USA walkuwa na akiri ndogo kuondoa security system yenu na kupandikiza Ma-CIA kwenye ujio wa Obama, hilo nafikiri hata sirikali yenu inalitambua. Sasa ujiulize "Ni kwann yanapotokea majanga kama mf; mlipuko wa grenade pale...
  10. Josêph M Mike

    Maisha nikutu gani hasa?

    Wakuu tusiende Mbali sana! Inshort Maisha ni Safari ya Mtu anapozaliwa hapa Dunian akikutana na Mambo/changamoto nyingi zenye Shida, Misukosuko, Raha,Faraja hadi pale anapoiga Dunia (Kufa) ndio kunakuwa mwisho wa Safari (Maisha) yake. Ni hvyo tu Wakuu. Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
  11. Josêph M Mike

    Test Your Earliest Memory: How Long Can You Remember?!.

    Nakumbuka nikiwa Mdogo sana (sikumbuki exctly ni miaka mingapi lkn si zaid ya Mitano) nilikuwa napenda kujiombeleza kwa Watoto wenzang jambo ambalo siku moja yalinitokea ya kunitokea. Ni pale nilipokaomba pp katoto kenzang, kakanijibu; 'KAOMBE KANISANI" kuskia hvyo nikaingia church nikakuta kuna...
  12. Josêph M Mike

    Test Your Earliest Memory: How Long Can You Remember?!.

    Me Memory yang inaanzia pale When I was about 5 year old na ni kabla cjaanza hata vdudu (nursery school) wazaz wang walikuwa na shamba la Mahind so ilipokuwa kila akitaka kuenda Shamba alikuwa akinichukua yeye pamoja na mimi na kwa vile nilikuwa Mpenz wa Vitumbua (na kwa wakat huo I remember...
  13. Josêph M Mike

    Wahaya waandamana

    Dodoma Wajengewe sanam ya Anamakinda akisoma Mswaada,****** akichagua watoa hoja,Lameck Airo akiwa amukunja uso hakui nn kinafanyika humo Bungen. Joseph wa Mwanza
  14. Josêph M Mike

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Kuna ile hali ya mtu kila anapotulia anakuwa anafikiria mambo mazuri yajayo mbele yake(yaani anakuwa anawaza mafanikio makubwa tu katika maisha yake hapo badae), Je aki Concentrate kwa kile anachokiwaza anaweza kufanikiwa? Pia, Je Hayo mawazo ni ya Kuigiza tu au yanahusiana vp na Psychic powers...
Back
Top Bottom