Recent content by Josemanjeezy

  1. Josemanjeezy

    Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili

    Mchawi alikuja na mtu aliyemloga,mganga akaagiza vifaa, baadae akarudi Yule Bibi Mchawi peke yake kumueleza mganga asimtibie yule mgonjwa maana yeye ndio aliyemloga,Mganga Akashangaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na akaanza kuuliza hadi faida za kuwa mchawi? Swali huyo Mganga aliona nn kwa...
  2. Josemanjeezy

    Toyota Altezza

    Year 2001 4 cylinder Low mileage 94k Million 6.8 0789054030 Haina tatzo lolote njoo na fund
  3. Josemanjeezy

    Mke wangu amejiunga na kanisa la 'kiroho' na inapelekea kutugombanisha; naomba ujanja wa kukabiliana na tatizo hili

    Badili team tu maana hata hujitahid vipi kubadili mfumo hautapata matokeo chanya,
  4. Josemanjeezy

    Watani wa Jadi: Wanaume wa Dar vs wa Mikoani

    Kuwa mwanaume wa dar akili yako inafanya kazi mala 1000 ya mwanaume wa mkoa,hesabu na hali ya maisha ni tofaut kabisa na ukiwa mkoani n kama mbingu na ardhi Nimezaliwa Mkoa nafahamu vitu vingi vipo kwenye systém inayeleweka Wakati wa Kulima na kuvuna Ukiwa na Tsh 10000 haina noma maana haina...
  5. Josemanjeezy

    Naomba Ushauri: Nimejikuta nimeoa mke aliyepitiwa na wengi

    Upuuz wa kiwango cha lami unaanzaje kugoogle history ya mke wako ktk zama hz? Mwanamke aliyedate na wanaume kumi tu unawaona wengi,Aisee huyo mkeo kwanza abusara sana usimuache wala usimuwazi mabaya ila ilaumu nafsi yako kwa kuwa mjinga kuanza kufukua makabur
  6. Josemanjeezy

    Historia ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda: Kilio Cha Mifereji ya Damu iendayo Ethiopia

    Thanks Mkuu hii kitu unazidi kunifungua kichwa
  7. Josemanjeezy

    Serikali iingilie kati juu ya Ubakaji unaoendelea Coco Beach jijini Dar!

    kuna tatizo kubwa sana ktk fukwe za Dar,wengine wanapenda kufanyiwa hyo michezo na kila weekend hawakos beach lkn kuna wahanga wa huo unyama,Aisee kama una kabint kako au mkeo hakauki beach n hatariii
  8. Josemanjeezy

    Jakaya Kikwete: Usirithi adui ya mtu... Tengeneza Adui yako Mwenyewe, lakini...

    Kama wangekuwa maadui Babu SEYA asingewepo chin ya hili jua,Naina watu wanaushabikia ushoga kwa nguvu zote
  9. Josemanjeezy

    Proof waliompiga Risasi Tundu Lissu sio watu wa system.. Big No

    Wale wale kumbe haya endeleen kukidumisha chama
  10. Josemanjeezy

    Atlas Primary School - Madale, Dar

    Kwa Aziz Aly hadi Madale? huo n ukiukwaji wa haki za kibinadamu
  11. Josemanjeezy

    Mtu mgumu mno kupigika ndani ya WWE champions kumshinda uwe umefanya kazi kubwa

    uposema mgumu kupogika ktk maigizo sikuelewi? ni sawa na movie star hafi
  12. Josemanjeezy

    2015 Mlihubiri Mabadiliko, 2020 Mtahubiri Nini?

    hayo mabadiliko ya maneno ndio unaita mabadiliko? hvi watu kukuogopa hyo unaita nidhamu? kukosa msimamo na kuwa kama kinyonga nayo n mabadiliko? siasa za chuki na visasi hayo ndio mabadiliko mliyohubili
Back
Top Bottom