Recent content by joseef

  1. joseef

    Msaada wa mtu ambaye anaweza nisaidia kuondokana na addiction

    “Nobody Knows If A Stock's Going Up, Down Or Fucking Sideways, Least Of All Stockbrokers. But We Have To Pretend We Know”
  2. joseef

    Wanaume tuacheni fiksi!...mimi pancho haya ndo maisha yangu...

    We jamaa unafrahi kuwa maskini sio
  3. joseef

    Picha: Kumbe gari AGX 404 MC lenyewe ndo hili lililomteka MO!

    Hlo eneo lina CCTVs..
  4. joseef

    Cas nn shida????

    cas.go.tz inafunguka,ila cas.tcu.go.tz ndo anamanisha inazingua
  5. joseef

    Tunaosubiria Mkopo Second Lot, Tukutane hapa

    tuliikataa ELIMU ELIMU ELIMU Buree na bora acha tuisome namba sasa.!
  6. joseef

    HESLB wametoa majina ya mkopo mwaka 2015/16

    msaada plz niangalizie S0386.0149.2012
  7. joseef

    Transfer jamani..

    kama umepata nafas chuo hucka hamna kusubir transfer online..cha msingi ni kuchukua admission letter chuo ulchochaguliwa na admission letter chuo unachohamia unaenda navyo tcu ili kufanya confirmation,tcu wanatoa tranfer online ili kuepuka cost za wewe kufatilia nafasi chuo unachotaka...
  8. joseef

    Shamba la heka 29 linauzwa bei chee!

    Shamba la heka 29 ambalo baadhi ya sehemu yake imepandwa miti 2300 ya mbao ambayo kwa sasa imemalza miaka 3 toka ipandwe linauzwa kwa sh million 40 jumla na miti yake. Shamba hilo linapatikana Geita mjini. Kwa anayehitaji ni cheki hewani kwa namba 0769031693 kwa masiliano zaidi!
  9. joseef

    HESLB nini tatizo?

    HESLEB ndo nini?
  10. joseef

    Wale tuliopitia NACTE

    daaaah!!wa nacte mnahangaika kweli,poleni.!
  11. joseef

    Hongereni HELSB 2015/16

    yeahh..ndo ipo hvy na mipoko ilyotolewa n kwa wale ambao tayar wapo chuoni xio first year!!!
  12. joseef

    Hongereni HELSB 2015/16

    tayar kwa SUA
  13. joseef

    Uliza swali lako mdahalo wa wagombea Urais utakaofanyika Oktoba 18, 2015

    kwanini balali alivyokufa alizikiwa huko huko marekan? kwan hakuwa mtanzania,mbona viongoz wengine wa tanzania wakifariki huwa wanaletwa,sasa iweje yeye azikiwe huko,alkufa kwel au watanzania tumefungwa macho,dah membe kanishangaza sana kusome balali alizikiwa makabur ya marekani
  14. joseef

    Transfer kutoka St Joseph Dar kwenda Must Mbeya

    atapata make had 3rd round bado inaonekana kuna nafas,xo bado haijajaa,asubir tu dirisha la transfer la tcu lifunguliwe mara baada ya kufungwa kwa 3rd round
Back
Top Bottom