HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,358
- 94,532
Kuonesha picha tu haitoshi. Commitment kwenye kumsaka ndio kiu ya watanzania wote wanaoitakia mema nchi hii.
Huyo mkuu anapaswa kuwa analeta updates kuwa wamefikia hapa au pale kwenye msako.
Kitendo cha familia kutangaza dau kwangu mimi nadhani waliona serikali iko kimya sana.
Kwa kuwa ni jukumu la serikali kulinda raia wake na mali zao, serikali ndio ilikuwa na jukumu la kutoa zawadi kwa yeyote atakayefanikisha kupatikana kwa MO sio familia yake.
Wamarekani wameshaanza uchunguzi so far.
CCTV: American Intelligence Groups Currently Looking Into Kidnapping Of Tanzanian Billionaire Mohammed Dewji As Kenyan Lady Muthoni Gathithu Questioned
Mi nimesoma hiyo link naona jamaa wako makini kuliko hawa police wetu wanaotuletea story za ajabu ajabu zisizo na kichwa wala miguuu
hao wameonesha hadi wahusika
gari la siro si halisi maana cctv haiwezi nasa mbele na nyuma ya gari kwa gari stationary.... tena bora ingekuwa ariel picture hiyo imepigwa kwa kamera ya kawaida ya simu