Recent content by Jorochere

  1. Jorochere

    Hata kama maisha ni magumu lakini sio hivi

    Hata mimi nina waswas huenda yeye huyu
  2. Jorochere

    Natafuta kazi ya udeleva

    Mhurumieni jamani ulimi hauna mfupa
  3. Jorochere

    Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    Mimi mbona nipo serious ? Tatizo ww ulijimix ukanandiwa na vibaka.Kipindi nakusakua pm ulikuwa na nyodo mno sasa marinda chali
  4. Jorochere

    Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    Mimi nipo Mwanza nitumie nauli nianze safari ?
  5. Jorochere

    Nina jinsia mbili, natafuta mpenzi

    Unachotaka nn...?si ujihudumie mwenyewe maana una jinzia zote mbili.
  6. Jorochere

    Mwandishi Ansbert Ngurumo apewa hifadhi kwa usalama wake nchini Finland

    Wewe huna lolote kichwani mweupe kama sembe
  7. Jorochere

    Nini hukumu yao siku ya Kiama kwa wale wasiopata neno la Mungu tangu wazaliwe hadi kifo?

    Kama uislamu haubagui iweje mnawaita wengine "kafiri"mtume gani mwenye ubaguzi huyo kama siyo shetani...?
  8. Jorochere

    Jamhuri ya wajinga na falsafa za mabwanyenye, Biblia inasema Kinyonge hakitauona ufamle wa Mungu. "Anaongoza wanyonge?

    Safari ni ngumu maana mawimbi ni makali na giza limetanda nikitizama kule namuona nahodha anasinzia lakini cha kushangaza ni kwamba abiria wanacheka na kushangilia ....! Ee mola tunusuru ...!
  9. Jorochere

    Wabunge wetu, kesho Waziri Mkuu maswali ya papo kwa papo atuambie Tsh 1.5 trn zipo wapi

    Kiongozi wa bunge hataruhusu maswali ......! Believe me
Back
Top Bottom