By Kibanga Ampiga Mkoloni: TAREHE: 09/08/2014 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YAH: KUOMBA RADHI KWA KUFIKA MAENEO YA BUNGE Jana kunabaadhi ya vyombo
vya habari viliandika kuhusu
mimi kufika maeneo ya
bunge la katiba Dodoma
mnamo Jumanne tarehe
05/08/2014. Ni kweli nilifika kwa na
kujisajili...
Akiongea kuhusu wabunge wachama chake kuingia bunge la katiba, kupitia redio one katibu mkuu wa CHADEMA amesema wote walioenda kwenye bunge la katiba walishapuuzwa na chama mda mrefu.
Amesema adhabu sio lazima iwe ya wazi hata kupuuzwa ni adhabu pia.
Leo kutwa nzima nimekuwa
sehemu ya ujumbe wa CCM
kwenye mazungumzo na
UKAWA. UKAWA wamesisitiza
kutorudi Bungeni.
Mazungumzo yamevunjika.
Hii imetoka kwenye twiter accaunt ya makamba ccm wameshikilia msimamo wao ukawa nao na msimamo wa wananchi.
kupitia ukarasa wake wa fb Zitto anasema Mkutano wa Bunge Maalumu
utakaofanyika bila kuwepo
kwa maridhiano utakuwa
hauna maana yeyote na
itakuwa ni sawa na kupoteza
muda na fedha za walipa kodi ambazo zingeweza kununua
madawa vijijini. Mimi binafsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.