Recent content by jongomkwawa

  1. J

    Kadri unavyozidi kupanua ndivyo watu wanavyozidi kutamani

    Ndio kusema 95%ya wabongo tunawaza mambo yaleeeeeeeeeeeeee_______??
  2. J

    TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

    Mmmmh ndugu mwanadamu anaweza kujikwaa tu akatangulia we unawaza kodi tu duh
  3. J

    CHADEMA toeni tamko la kuwaunga mkono ACACIA

    Eti mtu kukumbusha kwmba msiisahau mikataba tyr mnataka wachukue upande ,upande upi wachukue sasa Wa kanga au Wa kitenge sijaelewa hapo ,yeye alichokfanya amekumbusha pengine hili zoezi liende sambamba na hayo makubaliano amabayo ndio Mkataba baina ya wahusika isiachwe nyuma duh kaaaz kwel kwel...
  4. J

    CHADEMA toeni tamko la kuwaunga mkono ACACIA

    Ndio kusema hao Chadema wakitoa tamko la kuunga mkono kama Polepole mambo yote ya kuibiwa madini yetu yatakoma?????!!!!!!!!!! Kazi ipo
  5. J

    CHADEMA toeni tamko la kuwaunga mkono ACACIA

    Chadema wakitoa tamko tu mambo yote ya kuibiwa madini yetu yanakoma?????!!!!!!!!
  6. J

    Uliumbwa kwa mavumbi na mavumbini utarudi

    Duh [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  7. J

    Swali kwa Tundu Lissu

    Nafkr ungeanza kwa kudadavua neno Mkataba/Mikataba ,Ingependeza zaid kuendelea maana Tl aliongelea mikataba
  8. J

    Ushauri kwa Tundu Lissu juu ya Makontena ya ACACIA

    Mkuu ushauri wake tu Wa Jana tayar n msaada mkubwa kw taifa ,tabu inakuja pale anapoitwa mpinzani bas watu flani wao hudhania kuwa upnzani ni ktoka nchi nyngne tofaut na taifa hili kmbe mchango wake ni muhimu sana kwa taifa hili kulko baadh wanavyochukulia nmewaza kwa saut tu
  9. J

    Kama ilivyotarajiwa: CHADEMA waja na hoja nzito kuhusu mchanga wa dhahabu, wananchi wapigwa butwaa

    Mkuu siyo bure nadhan hauko sawa kuna KTU knakcumbua dah pole sanaaaaaaaaa
Back
Top Bottom