Recent content by Jonathan Naaman

  1. Jonathan Naaman

    Chama cha walimu(CWT) kinakusanya zaidi ya bilioni hamsini za walimu wanyonge bila kufanyia kazi waliyotumwa

    Viongozi waandamizi na maafisa wa hicho chama cha walimu, wanaishi maisha ya juu sana, chama kinamiliki magari mazuri, walimu wapo hoi. <br />Vitega uchumi vya chama havina uangalizi kwa ufupi ni shamba la bibi. Umefikia wakati viongozi wa CWT wakae chini wajitafakari na kupunguza mishahara na...
  2. Jonathan Naaman

    Vipi Mshahara wa mwezi Agosti ushatoka?

    Uaminifu na uvumilivu! Vuta subira mpunga utaingia tu wameenda kula makinikia mtakutana kesho. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Jonathan Naaman

    Yaliyonikuta leo Dodoma sitasahau

    Duuh! Mungu anawaona lakini! Umeenda kwa kanisa mara unang'oka na mzigo! duh! Ushapiga puchi ya pepo. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Jonathan Naaman

    Kuna Kitu Kinamsumbua Mzee Mwinyi kuhusu Rais Magufuli!

    Hayo ni mawazo yake nawe jenga hoja tuziweke kwenye mizani.
  5. Jonathan Naaman

    Madeni ya watumishi yatalipwa mwaka Huu?

    Tena utashangaa ukienda nyumba nyeupe mzigo umejaa kwenye droo.
  6. Jonathan Naaman

    Madeni ya watumishi yatalipwa mwaka Huu?

    Madeni yanalipwa kimyakimya.
  7. Jonathan Naaman

    Wachawi tukutane hapa

    Kweli we noma !
Back
Top Bottom