Kawaida ni 8klm to 9klm per lt kwa speed ya mpaka 160. Lakini kiukweli Subaru yenye Turbo utafurahia safari popote na speed yakufa mtu. Huwazi ku over take ukiwa na Subaru. Ukipata cross spot uta enjoy zaidi. Alikua mtu Arusha tumempa Subaru akafuata mzigo dar na kuupeleka Dom kwa mama makinda...
HAKIKA KAMA KWELI KUNA WATANZANIA WATATHUBUTU KUMPA KURA MTULIA KUNA HAJA YA WATANZANIA WOTE KUJA KUPIMWA AKILI NA LAZIMA TUKUBALIANE NA TRUMP WE ARE FROM S...HT HOLE
Na Kama CCM itashinda Basi nasema shida tunayo sisi Wananchi kuacha wanasiasa watuchezee Kama wajinga. Hivi hiyo pesa ya uchaguzi ingeweza kufanya mangapi?
Ni akili ndogo sana tena kiwango cha chini inaweza kuandika ulichokiandika. Lazima utakua kati ya wale wasiotumia hata chembe ya akili walizopewa na Mungu.
Lema ni dola imeamua kumkomoa so pale ni kama kushindana na dola thats why hajawa na la kufanya hivi macho na akili zenu zimefichwa wapi ninyi? Hebu jiulize kuna tofauti gani kati ya kauli za lema na mzee wa upako? Alafu siro akajibu alietishiwa na kauli za mzee wa upako aende kufungua kesi...
POST YAKO HIYO HAINA FACT HATA MOJA NAONA NI NGONJERA TU. KESI YA LEMA NAYO UNAIITA KESI?MZEE WA UPAKO JUZI KASEMA WATU WATAKUFA KABLA YA MARCH NA MMEFUNGA MIDOMO.ILA KUNA SIKU AKILI ZENU ZITAKAA SAWA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.