fordmwaijumba
New Member
- Nov 16, 2016
- 3
- 1
Mungu na wanadam kwel 2nakoelekea siko
Mimi nanawa maji hapa, Kuna bomu moja lilipigwa hapa la machozi balaa
Uchochezihawa police c mnao kitaa na wanapanga kwene nyumba zenu,uvumiliv uwe na kikomo!
Unakimbie mabomutupigwee Ssisi??
Tema mate chini mjomba,ya Baghdad huwezi linganisha kabisa hata kwa utani!kule ni jehanam ya moto!Hii nchi sahizi utadhani tupo Bhagdad?