Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Katika kosa ambalo CHADEMA wamefanya na litawagharimu ni kusimamisha mgombea wa ubunge katika jimbo la Kinondoni huku wakitambua CUF wamesimamisha mgombea.
Katika jimbo la Kinondoni kuna maeneo ambayo CHADEMA inakubalika na kuna maeneo ambayo CUF inakubalika.
Maeneo ambayo CUF ina nguvu na inakubalika muda mrefu ni ;
1.Maeneo ya Tandale
2.Maeneo ya Magomeni suna
3.Maeneo ya Magomeni Kagera
3.Maeneo ya Magomeni Mzimuni
4.Maeneo ya Mwananyamala karibia yote .
5.Maeneo ya Kigogo yote
Haya ni maeneo ambayo CUF ina nguvu muda mrefu.
CHADEMA inakubalika sana maeneo ya Kinondoni na Kijitonyama .
Ukirudi katika uchaguzi wa ubunge CHADEMA kaweka mgombea na CUF kaweka mgombea na katika uchaguzi huu obvious CUF na CHADEMA watagawana kura.
Lakini pia CHADEMA ina wakati mgumu sana kukubalika maeneo ya Kigogo, Mwananyamala, Magomeni na Tandale kutokana na maeneo haya CUF inakubalika na ipo muda mrefu sana tangu 1995 chama kimejijenga sana.
Hivyo wanaoamini CHADEMA itashinda wanajisumbua bure lakini pia CUF pia haiwezi kushinda Kinondoni kwa sababu ya kata za Kinondoni na Kijitonyama CHADEMA inakubalika.
Hivyo wanaoneza propaganda CHADEMA itashinda wanajidanganya na CUF kama itashinda wanajidanganya pia
CCM ameshashinda mapema
Katika jimbo la Kinondoni kuna maeneo ambayo CHADEMA inakubalika na kuna maeneo ambayo CUF inakubalika.
Maeneo ambayo CUF ina nguvu na inakubalika muda mrefu ni ;
1.Maeneo ya Tandale
2.Maeneo ya Magomeni suna
3.Maeneo ya Magomeni Kagera
3.Maeneo ya Magomeni Mzimuni
4.Maeneo ya Mwananyamala karibia yote .
5.Maeneo ya Kigogo yote
Haya ni maeneo ambayo CUF ina nguvu muda mrefu.
CHADEMA inakubalika sana maeneo ya Kinondoni na Kijitonyama .
Ukirudi katika uchaguzi wa ubunge CHADEMA kaweka mgombea na CUF kaweka mgombea na katika uchaguzi huu obvious CUF na CHADEMA watagawana kura.
Lakini pia CHADEMA ina wakati mgumu sana kukubalika maeneo ya Kigogo, Mwananyamala, Magomeni na Tandale kutokana na maeneo haya CUF inakubalika na ipo muda mrefu sana tangu 1995 chama kimejijenga sana.
Hivyo wanaoamini CHADEMA itashinda wanajisumbua bure lakini pia CUF pia haiwezi kushinda Kinondoni kwa sababu ya kata za Kinondoni na Kijitonyama CHADEMA inakubalika.
Hivyo wanaoneza propaganda CHADEMA itashinda wanajidanganya na CUF kama itashinda wanajidanganya pia
CCM ameshashinda mapema