Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutumia Sh. Bilioni 1 ktk Uchaguzi wa Marudio Kinondoni

Kinondoni ni wasomi. Nadhani wataipa ccm fundisho ili wasirudie ujinga huu tena. Mimi sina chama na nitahakikisha natoa fundisho kwa kura yangu. Wasituchezee tena kwa matumizi mabaya ya kodi zetu.
 
Tuna shida ya mifereji ya maji ya mvua.Mafuriko kila msimu wa vuli na masika katika Kata za Kinondoni na Mwananyamala,.Zinahitajika milioni 800 tu kukabili tatizo hilo, lakini kila mwaka serikali inadai haina bajeti, hela za kurudia uchaguzi wanazo.Haya ndio maajabu ya serikali
 
Kama mnaona ni gharama na serikali inatumia hela vibaya za walipa kodi na nyinyi ni wazalendo kwa nini msisusie uchaguzi huu ili wagombea wapite bila uchaguzi wowote na pia itaonesha kuwa hamuungi mkono uchaguzi huo sababu umegubikwa matumizi mabaya ya fedha....ila kumbuka democrasia ni gharama.
Kwahiyo unaona kususia ndiyo suluhu?

Songea na Singida kaskazini ambako ususiaji umefanyika,kuna chochote kilichoshtua chama dola kua kinachofanyika katika chaguzi hizi si cha uimgwana?
 
Ipo siku tutasikia mtu anatangaza kufurahia kufilwa na tutashuhudia wengne wakiunga mkono kuomba kufilwa huu ni usenge hii pesa Kwa nin wanafunzi waspiwe mikopo
 
Wee mbona uko In terested kujua Niko wapi ili ufanye nn? Siku hizi hali mbaya sana humu jf kuna watu kibao wasiojulikana, wee hili LA Niko nchi gani halitakusaidia tujadili tu hoja haya mambo ya kujazana humu jf ili kuzima hoja za msingi haziwezi kujenga nchi sawa kaka au dada utajua mwenyewe.
 
Back
Top Bottom