Kaka hiyo ni siki ya tofaa ama apple cider vinegar!! Nilikuwa na tatizo kama la kwako nilipewa hiyo ikamaliza tatizo!! Inapatikana supermarket kwa brand tofauti tofauti ila wanasema ni vizuri ukatimia unfiltered! Unachofanya nikuchanganya na maji kijiko kimoja cha chakula asubuhi kabla ya kula...
Msaada wa dawa ya uhakika jamani....naamini nina UTI sugu kwa maana kila ninapokuwa Faragha na wife baada ya muda anahisi kuwashwa na akipina anapatikana na UTI. Kuna wakati mimi napata burning sensation pia ila nikipima hakuna kitu!! Naombeni ushauri pia kwa wabobezi.
Hii report ingekuwa na chembe ya kuaminika angalau kungekuwepo na neutral part kwenye hayo mazungumzo....hapa tumepigwa changa la macho maana hizo hesabu hata asiyeenda shule atazikataa!!
Habari wadau,
Nimekuwa na tatizo la reflux kwa muda mrefu na nimetibiwa hospital nyingi bila mafanikio, hivi karibu imekuwa worse kwa kuwa napata sore throat(choking type) na persistence heartburn, anayeweza kusaidia tafadhali kama kuna tiba asili (sio uganga wa jadi) pia nitashukuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.