Kiungulia kikali dawa nini

chincoplem

Member
Dec 29, 2014
6
2
Jamani ndugu wapendwa.......

Naombeni msaada wenu kila nikila baadhi ya vyakula napata kiungulia kikali ambacho kunanitesa week nzima.


Kwa mfano nikila viazi vitamu nashikwa na kiungulia..

Vivyo vivyo nikila dagaa wakavu, maharage na mbaya zaidi nikila tu mboga ilio ungwa na nyanya nyanya nyingi duh....... Shida kweli.

Nilijaribu kutumia dawa kama kuramba majivu beking poda.....

Msaada wenu waungwana.......
 
aa5548ceb9dd773df0947c2c79938d30.jpg
 
Kaka hiyo ni siki ya tofaa ama apple cider vinegar!! Nilikuwa na tatizo kama la kwako nilipewa hiyo ikamaliza tatizo!! Inapatikana supermarket kwa brand tofauti tofauti ila wanasema ni vizuri ukatimia unfiltered! Unachofanya nikuchanganya na maji kijiko kimoja cha chakula asubuhi kabla ya kula chochote, unashauriwa kutumia straw(mrija kufyonza ) kuhakikisha wakati unakunywa haikutani na meno maana inasababisha cavit!!
 
Kaka hiyo ni siki ya tofaa ama apple cider vinegar!! Nilikuwa na tatizo kama la kwako nilipewa hiyo ikamaliza tatizo!! Inapatikana supermarket kwa brand tofauti tofauti ila wanasema ni vizuri ukatimia unfiltered! Unachofanya nikuchanganya na maji kijiko kimoja cha chakula asubuhi kabla ya kula chochote, unashauriwa kutumia straw(mrija kufyonza ) kuhakikisha wakati unakunywa haikutani na meno maana inasababisha cavit!!

To be clear mix kijiko kimoja cha apple cider na maji glass moja!!
 
Jamani ndugu wapendwa.......

Naombeni msaada wenu kila nikila baadhi ya vyakula napata kiungulia kikali ambacho kunanitesa week nzima.


Kwa mfano nikila viazi vitamu nashikwa na kiungulia..

Vivyo vivyo nikila dagaa wakavu, maharage na mbaya zaidi nikila tu mboga ilio ungwa na nyanya nyanya nyingi duh....... Shida kweli.

Nilijaribu kutumia dawa kama kuramba majivu beking poda.....

Msaada wenu waungwana.......
Kiungulia (Heart burn) hii ni matokeo ya uzlishaji wa acid uliopitiliza tumboni( excessive acid production) ambayo hutokea katika nyakati tofauti tofauti kama vile

1/ kula vyakula vya wanga vilivyopoa kama viazi.....maana wanga ni (Carbohydrates) ambayo umeng'enywa na kuvunjwa vunjwa mwilini kipindi cha mmeng'enyo wa chakula( digestion) na zao la mwisho baada ya kuvunjwa vunjwa ni uzalishwaji wa (amino acid) ndio ambayo ikazilishwa kwa wingi ndipo mtu husikia kiungulia kikali..

2/ kula vyakula vyenye asili ya uchachu mkali kama ndimu maembe machachu n.k

3/ kurudi kwa chakula kwenye kutokea tumboni ambapo tunaitwa ( gastroenternal reflexes[GERD] )

4/ kukaa kwa mda mrefu bila kula na kupelekea mwili kutoa acid kwa ajili ya kumeng'enya chakula na mwisho wa siku panakua hakuna chakula tumboni na acidi kubaki ilivyo na kupelekea kiungulia..

Madhara yake
Yapo mengi lakin la masingi ni pale mtu anapokua na kiungulia cha mda mrefu( chronic heart burn) nikimaanisha miaka na miaka basi humepelekea mtu kua katika hatari ya kupata vidonda vya tumbo ( PEPTIC ULCER DISEASE).. ivyo basi kipi kifanyike

Matibabu naweza kuyagawanya katika makundi mawili..

1/Yasiyohusisha dawa (Non pharmacoligical management)

-ambapo hapa inabidi huepuke kula vyakula vya wanga vilivyopoa kama maharage...viazi...mihogo iliyochemshwa... unatakiwa ule vikiwa vyamoto na si vilivyopoa
-kuepuka matunda yenye uchachu uliopitiliza
-kulamba majivu yaliyokaribu maana majivu ni base ivyo huenda kuneutralize acid ivyo husaidia..

2/ Yanayohusisha dawa(Pharmacological management)

hapa saaa izi dawa zinaweza kukusaidia
kuna kundi la dawa kitaalamu tunaliita(proton pump inhibitor[PPI]) hili kundi husaidia kupunguzuza uzalishaji wa acidi uliopitiliza na kukupelekea kupata kiungulia kikari (severe heart burn disease).. zipo nyingi acha nikuandike moja inayopatikana kwa wingi katika pharmacy nyingi nchini na pia ni affordable kiuchumi pia

-Omeprazole 20mg kila siku kwa wiki 8 asubuh kabla ya kula (oce daily for 8 weeks)

PIA unaweza nunua dawa ya kunywa ambayo yenyewe inaenda kupambana na iyo acid inayoleta kiungulia ivyo kuiyeyusha na kuiondoa kabisa iyo acid ( to neutralize acid in the stormach) na pia husaidia kuondoa gesi iliyo jaa tumboni..
zipo za aina mbali mbali ila ntakuandikia inayopatikana kwa wingi katika pharmacy zetu na pia ni affordable..

-RELCER GEL.. unakunywa vijiko vya chai kimoja au viwili kila unapomaliza kula mlo wako hii inasaidia sana maana kwa kufanya ivyo hutokisikia tena kiungulia note na kama ni kikali bas inaongeza ujazo wa kunywa

Thank you!!
 
Kiungulia (Heart burn) hii ni matokeo ya uzlishaji wa acid uliopitiliza tumboni( excessive acid production) ambayo hutokea katika nyakati tofauti tofauti kama vile

1/ kula vyakula vya wanga vilivyopoa kama viazi.....maana wanga ni (Carbohydrates) ambayo umeng'enywa na kuvunjwa vunjwa mwilini kipindi cha mmeng'enyo wa chakula( digestion) na zao la mwisho baada ya kuvunjwa vunjwa ni uzalishwaji wa (amino acid) ndio ambayo ikazilishwa kwa wingi ndipo mtu husikia kiungulia kikali..

2/ kula vyakula vyenye asili ya uchachu mkali kama ndimu maembe machachu n.k

3/ kurudi kwa chakula kwenye kutokea tumboni ambapo tunaitwa ( gastroenternal reflexes[GERD] )

4/ kukaa kwa mda mrefu bila kula na kupelekea mwili kutoa acid kwa ajili ya kumeng'enya chakula na mwisho wa siku panakua hakuna chakula tumboni na acidi kubaki ilivyo na kupelekea kiungulia..

Madhara yake
Yapo mengi lakin la masingi ni pale mtu anapokua na kiungulia cha mda mrefu( chronic heart burn) nikimaanisha miaka na miaka basi humepelekea mtu kua katika hatari ya kupata vidonda vya tumbo ( PEPTIC ULCER DISEASE).. ivyo basi kipi kifanyike

Matibabu naweza kuyagawanya katika makundi mawili..

1/Yasiyohusisha dawa (Non pharmacoligical management)

-ambapo hapa inabidi huepuke kula vyakula vya wanga vilivyopoa kama maharage...viazi...mihogo iliyochemshwa... unatakiwa ule vikiwa vyamoto na si vilivyopoa
-kuepuka matunda yenye uchachu uliopitiliza
-kulamba majivu yaliyokaribu maana majivu ni base ivyo huenda kuneutralize acid ivyo husaidia..

2/ Yanayohusisha dawa(Pharmacological management)

hapa saaa izi dawa zinaweza kukusaidia
kuna kundi la dawa kitaalamu tunaliita(proton pump inhibitor[PPI]) hili kundi husaidia kupunguzuza uzalishaji wa acidi uliopitiliza na kukupelekea kupata kiungulia kikari (severe heart burn disease).. zipo nyingi acha nikuandike moja inayopatikana kwa wingi katika pharmacy nyingi nchini na pia ni affordable kiuchumi pia

-Omeprazole 20mg kila siku kwa wiki 8 asubuh kabla ya kula (oce daily for 8 weeks)

PIA unaweza nunua dawa ya kunywa ambayo yenyewe inaenda kupambana na iyo acid inayoleta kiungulia ivyo kuiyeyusha na kuiondoa kabisa iyo acid ( to neutralize acid in the stormach) na pia husaidia kuondoa gesi iliyo jaa tumboni..
zipo za aina mbali mbali ila ntakuandikia inayopatikana kwa wingi katika pharmacy zetu na pia ni affordable..

-RELCER GEL.. unakunywa vijiko vya chai kimoja au viwili kila unapomaliza kula mlo wako hii inasaidia sana maana kwa kufanya ivyo hutokisikia tena kiungulia note na kama ni kikali bas inaongeza ujazo wa kunywa

Thank you!!
Kwa mjamzito zinamfaaa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom