Crdb ni majanga. .. wakuu mimi master card yao kila nikitumia kwa ATM naambiwa sina salio, ila nikiingia ndani wananipa hela.. nikiwauliza wananibinulia midomo...hela zangi lakini zinanitesa
Pole mkuu kwa tazizo lako..
- muone "dentist" atakusaidia...
- atakupima na utatengenezewa "frem" kava ya plastiki unavaa juu ya meno wakati wa kulala...
-tatizo hili mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo...
-athari zake ni kulika kwa "layer" ya juu ya meno hivyo kupata ukakasi...
Inashangaza mtu anaacha lami (njia kuu),, anahangaika na barabara mbovu vumbi, makorongo, miba, bado kila mdudu akatisha sababu nyingi zinakatiza vichakani.. jionee huruma mwenyewe, jithamini, jijali na jipende
Mkuu 1. Fungua fixed account weka km 10m ? ( (benki hutoa faida kubwa kdg kwa acc hii vs muda)
2. Anzisha biashara ya km 3m
3. Faida utakayopata benki na biashara ingiza kwa ujenzi ( jenga taratibu anza na side house).
4. 5m ya tahadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.