Mkuu, chakufanya tafuta mtaalam wa mipango miji au surveyor afanye site reconnaissance akupe majibu kwamba eneo lako limepangwa matumizi gani kulingana na mchoro wa mipango miji (TP) yaan town planning drawings. Baada ya hapo atakushauri ujenge au usijenge.
Pia kwa Dar es Salaam kuna utaratibu...
Wasabato ni wasumbufu na ukipata mwanamke msabato lazma akomae uhamie sabato lasivyo huwez mpata.nikama wamelishwa imani kali sanaa.Yote katka yote mwambie jamaa achane nae atafute wa dhehebu lake kwani asipofanya hivyo ananunua ugomvi na mvurugano wa familia yao hasa watoto watakao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.