Recent content by joker1

  1. J

    BASATA: Marufuku kusikiliza au kusambaza nyimbo zilizopigwa marufuku

    Mbona ngoma inaelezea vizr tu,imewakwaza nn kama hawako vile?
  2. J

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    mbona garama za makato ya kwa mwezi yanazidi kupanda? pia nakutoa pesa kwa ATM pia ziko juu sana?
  3. J

    Ushauri: Jamiiforums tuanzishe Thread maalum ya kumpa pole Kikwete, Posts Zitumwe Kwa SMS Kwenda

    pole iende kwa mama aliyebebwa machela kwa pikipki.anaenda kujifungua.kuliko huyooo.mm sitajipendekeza kamwe kwa mtu yeyote anayepuuza maisha ya wengine.ningempa pole kama kiteto kungekuwa shwar,watu wanakufa yy ni route kwa xi ji... ,mara kwa kina obama.swali kwako mtoa maada. je marekan na wao...
  4. J

    Wakuu kazi ya usalama wa taifa ipoje?

    mi sisemi lolote hapa.nawasabah 2.
  5. J

    Wanasheria, nahitaji nyaraka zifuatazo

    ie wavivu wa kujibu watu mkinyamaza mtapigwa faini?
  6. J

    mv magogoni imezama na watu

    Jaman sahamanin kwa ambaye anafahamu hili.Nani mwanzilishi wa madhimisho ya wajinga dunian? kwa hapa tanzania ofice iko wapi nipeleke msaada?
  7. J

    mv magogoni imezama na watu

    umenena vyema,woote wanaoiadhimisha siku hii wanasifa zote za kuwa wajinga.Nawatakia kila lakher
  8. J

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza auwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe

    hawakosei kuhoji,pengine wapo hawajawahi kumuona,au pengne habari imemushitua hvyo anataka taarifa zaidi.kila ukijuacho wewe,wote wakijue.
  9. J

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza auwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe

    wakati mwingne vifo vinapotoke,huwa tnahtaji kujua sababu ilyosababisha mauti.Ukimsemea mabina historia yake,ingawa cna uhakika ni kati watu walio serkal,hvyo hata uamuzi wake wa kupanda miti bila idhini ya mahakama ni ishara tosha kuwa mahakama itatekeleza yalyoyake nasiyo kufuata sheria.hakika...
  10. J

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza auwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe

    kuwa hakika,habari cio uzushi niyakweli,jamaa aliuawa jana
  11. J

    Biashara ya Uchawi Tanzania

    ukitakd uchawi utafanikiwa,ukitmia elim pia utafanikiwa tena mafnikio yakudum sikama ya uchawi yanakoma.Mtegemee mungu
Back
Top Bottom