Mahari haimalizwi kwa mkupuo. Omba punguzo na uwaambie unatoa kiasi ulichinacho. Kiasi kilichobaki waweza lipa hata miaka ishirini ijayo. Na anaweza kuja ilipa mwanao. Last year mume wangu alimaliza kulipa mahari ya mamake
QUOTE=kitomari2;7238894]hakuna mheshimiwa
Kuna mdada tuko ofisi moja analalamika kuwa kuna mtu alitoa matangazo Jamii Forums kuwa anauza vifaranga alimtumia hela ya hivyo vifaranga tangu Oktoba mwaka jana mpaka leo hajapata vifaranga anaambulia hadithi. Kwa sasa hata simu yake hataki...
Kuna mdada tuko ofisi moja analalamika kuwa kuna mtu alitoa matangazo Jamii Forums kuwa anauza vifaranga alimtumia hela ya hivyo vifaranga tangu Oktoba mwaka jana mpaka leo hajamtumia. Sanasana hata simu yake hataki kuipokea. Ngoja niwasiliane nae usije kuniliza.
Rev.Damas Mkenda ambaye ni memba humu amefiwa na mkewe tangu jana tarehe 25,Februari,2013 .Mipango ya kuusafirisha mwili wa marehemu kuelekea Rombo kilimanjaro inaendelea pale Mbezi kwa msuguri.Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe.Amina
Hapa natofautiana na wewe kumlaza kwa tumbo inampa nafuu zaidi.Pia utakapomuweka begani muweke kwa muda mrefu hata robo saa ili atoe gesi hata zaidi ya mara moja.
Tatizo lipo katika mfumo wote wa elimu,walimu wa shule za Serikali walishajikatia tamaa,wanafundisha ili muradi tu.Mtoto anayesoma shule ya kata kwa miezi sita unakuta ameandika notisi hata hazifiki kurasa kumi nenda kachukue daftari ya mtoto wa Private iliyo serious unakuta ameandika daftari...
Ni ngumu kwa kweli,mimi binafsi ilinikuta wakati nilipoenda kujifungua na yeye kuwa daktari wa zamu na uchungu umenikamata,nashukuru alinitafutia daktari mwingine ,kwani hata mimi mwenyewe sikuwa radhi anizalishe kwa sababu ni mtu aliyekuwa tukitaniana nae sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.