Recent content by jojujonicas

  1. J

    That moment when....

    That moment you are in group of three and someone u dont know fart. In no time one asks the other did you do that and he denies and lastly both of them are looking at you...
  2. J

    Serikali yamfukuza bosi wa UN, aondolewa nchini ndani ya saa 24, adaiwa alikuwa na malengo tofauti

    Yaah mkuu tutajua... ila pia inawezekana tukajua uongo ukweli usitufikie. Maana hapa bongo kila mtu ni mtoa taarifa ni juu yetu kuchambua.
  3. J

    Serikali yamfukuza bosi wa UN, aondolewa nchini ndani ya saa 24, adaiwa alikuwa na malengo tofauti

    Hahahahaha we jamaa boya kweli na kujiamini kote unaweka hadi na links za contacts ili nimpigie au!!? Julian yupo uingereza sawa ila sio kwenye ardhi au mamlaka ya waingeleza. Yupo katika ubalozi wa ecuador ndipo alipo pata asylum hapo. Na akitoka tu hapo anakamatwa. Kataa uje na number za simu...
  4. J

    Tukio gani linakufanya uamini kuwa Mungu yupo?

    Nimeshakoswakoswa na ajali kama 2 mwaka huu mpaka gali kupinduka kila ajali ikitokea nasema Jesus christ kama mara mia asee. Mungu yupoo.
  5. J

    Serikali yamfukuza bosi wa UN, aondolewa nchini ndani ya saa 24, adaiwa alikuwa na malengo tofauti

    Ifahamike ya kwamba serikali yoyote ikiwa sawa ama sio sawa... endapo mtu yeyote atakaye weka ama kuashiria vitisho vya kiuchumi jamii ama usalama wa nchi kutokana na interest za nchi. Basi huyo mtu hatohesabiwa haki na nchi husika. Edward Snowden pamoja na asange walitoa siri nyingi za us kwa...
  6. J

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Naomba kujua unapoambiwa kuwa tv ni digital tv kuwa inaweza kushika chanel bila kuweka king'amuzi hapo inakuwaje hapo!?
  7. J

    Serikali ivunje makambi yote ya wakimbizi ili warudi kwao

    Swala la ukimbizi ni swala ambalo halitabiliki jamani... wanasema ona kwa mwenzako tu yasikukute wewe. Mkimbizi si mpaka utoke kabisa nje ya nchi hata ndani ya nchi unaweza ukakimbia hata mkoa wako bro. Tanzania ilikubaliana kujihusisha na swala la kukubaliana kuwahudumia wakimbizi mnamo mwaka...
  8. J

    Serikali ivunje makambi yote ya wakimbizi ili warudi kwao

    And in here is where i find the real sense.
  9. J

    Waziri Nchemba afuta utaratibu wa wakimbizi toka nchi jirani kuingia nchini

    Na huo ndio utaratibu wa kimataifa... hata ivyo nchi huwa inamamlaka ya kuamua kwanza kama kuwapa ruhusa ya kuingia ama lah... Mashirika kama Unhcr yapo kusaidia na kuangalia haki zao kama zinafuatwa lakini pia kuwasaidia katika mambo ya haki zao makazi vyakula nk.
  10. J

    Jamani tusemeni tu ukweli, Mange Kimambi is a Tanzanian hero

    It doesn't matter what you do... what matters is How you do it. Matusi mengi kwenye mambo ya msingi hayafai hata kidogo. Kuna saa unaweza soma post za huyo dada ukashindwa kula asee. She's too much.
  11. J

    Nataka kwenda Ubalozi wa Marekani kuomba Hifadhi ya Ukimbizi, naombeni Muongozo.

    mkataba wa kimataifa wa mwaka 1951 pamoja na mwongozo wa itifaki yake ya 1967 ambazo huelezea sifa za mtu kuwa nazo mpaka kufika hatua ya kupatiw jina la mkimbzi na jinsi gani ataweza kuudumiwa huonyesha zahiri kabisa kuwa mkibizi ni mtu yeyote yule ambaye HASWA amegundulika luwa yupo katika...
  12. J

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hehehehe bro punguza hasira hahahahhaa washa sanda. Nimecheka kweli asee. Naona unauwa maiti.... vita ni vita mura
  13. J

    Suala la Kodi TRA: Magufuli, kwa mwenendo huu utashindwa tu

    Retail vs wholesale Ni bora kukusanya kodi kidogo kidogo kuliko kukusanya bulk-taxes ambazo zitawafanya walipaji wadogo kushindwa kulipa. Kwa mfano angalia matabaka ambayo yapo katika jamii zetu. Wenye uelewa wa kulipa kodi ni wachache bado. Na hata kama wanalipa hawafahamu kuwa wamelipa...
  14. J

    Warning: Picha za kutisha sana - mashambulizi ya South Afrika kwa foreigners sio jambo dogo

    As long habari ni ya kweli. Inawezekana kuna watu waliofanyiwa unyama zaidi tunao ona kwenye picha hizo za mwaka juzi. Mnaosema picha za zamani tupeni zenu.
Back
Top Bottom