Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,621
- 8,411
Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba amefuta utaratibu wa wakimbizi toka nchi jirani kuingia nchini. Ilikuwepo ruhusa ya watu kuingia nchini wakiwa katika kundi lakini sasa itabidi wapitie ukaguzi na wakubalike kuwa wakimbizi kweli ndio waruhusiwe kuingia nchini.
Kuna watu waliruhusiwa kuingia kutokana na kuwepo kwa tension ya kisiasa katika nchi zao lakini sasa tension hakuna tena na kuna watu wanaingia kwa kigezo cha kuwa ni wakimbizi kumbe wamekimbia njaa katika nchi zao.
Kuna watu waliruhusiwa kuingia kutokana na kuwepo kwa tension ya kisiasa katika nchi zao lakini sasa tension hakuna tena na kuna watu wanaingia kwa kigezo cha kuwa ni wakimbizi kumbe wamekimbia njaa katika nchi zao.