Yan nimemuacha mwanaume wa hiv jana tu jitu linawivu mpaka ukiwa kazini[emoji849], kununa sasa[emoji1430] gubu jaman khee na alikua ananitishia kuniacha kila siku namplz yaishe jana nimemuacha kweli shenzi yule
Kama ni wa kiume na unaweza kazi ngumu nenda MSD kizota industrial area karibu na machinjioni wanajenga godown jipya kubwa pale mshahara elf11 per day.. wanaandikisha wafanyakazi kila j5 nafkiri so jitahid ufike pale j5 asbh na mapema sana onane na foreman.
[emoji1422]
Yan ww unataka utumie 15k na dem outing?[emoji22] inawezekanaje jamani maana hata nikitoka mwenyewe situmii hiyo hela, af nyie mnaojifanya o tungetumia 15k nyingine ningempa ndo wabahili kinoma hapo Sana Sana ungempa 2k ya daladala [emoji706]
ACHA UBAHILI[emoji57]
Habari naomba msaada inakuaje mtu anapangiwa Kufanya usaili dar au dodoma Yan unatakiwa ufanye nn ili upelekwe mahali unapoona patakua rahisi kwako? Pls nimeitwa hizo za Tanroads dar na mm Niko dodoma now nifanyeje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.