Mweshimiwa Rais ,tafuta vijana kama Makonda fanya kazi nao nchi isonge mbele kwa faida ya watanzania wote,tatizo la hawa wasaidizi wako walishazoea kupiga mihela na we umebana,lazma wakugomee
Hapa swala siyo rushwa kwa upande wa Kenya,ila hawataki kungia gharama za kuwaweka ndani na gharama nyingine lukuki maana hawa ni binaadamu, ndo maana wanawachilia,mimi naona hata sisi tufanye kama kenya
Ulimruhusu kwenda kwa makanisa hayo mapema mno,angalau kandoa kenu kangekuwa na miaka kumi sauwa ,na pili siku hizi Lutheran wokovu upo aende huko mfano kimara (korogwe)na kijitonyama, ongea naye kwa hekma brother.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.