Recent content by JohnQcarney

  1. J

    Ndugu wa Ahmed Msangi: Maisha yetu Hatarini; Hemedi Katumiwa!

    Mabala The Farmer: Asante kwa comment yako. Kwa jukwaa huru kama JF where everyone dare to talk openly, ukiwa na tabia ya kuwatukana wale wanaosema yale unayopingana nayo, au yale usiyoyaamini je ndani ya mwaka mmoja utatukana wangapi? Kama JF ingekuwa na Forum ya watu kutoa mawazo yanayofanana...
  2. J

    Ushauri kwa Dr. Steven Ulimboka

    Sina hakika endapo ni sahihi kwamba Dr. Ulimboka ni Mtumishi wa Serikali. Nadhani nimepata kusoma katika vyombo vya habari wakati wa ule mgomo wa kwanza wa Madaktari kuwa Dr. Ulimboka hakuwa Mtumishi wa Umma, isipokuwa Madaktari walikuwa na imani naye kuwa atawawakilisha ipasavyo kwenye madai...
  3. J

    Waziri Bernard Membe kalipotosha Bunge kuhusu mpaka wa Tanzania na Malawi kwenye Ziwa Nyasa

    Mimi si mtaaalamu wa coordinates, ila nadhani ulichokibainisha kwenye hoja yako kinamantiki kubwa kuliko kile kilichosemwa kwenye Hotuba ya Waziri Membe. Upo uwezekano kuwa Waziri Membe alipotoshwa kidogo na wataalamu wake wa hotuba. Lakini pamoja na hilo, hoja ya TZ kudai umiliki wa mpaka wake...
  4. J

    Mzee Makamba aibua siri ya Urais 2015

    Hapana, siri iliyoibuliwa na Mzee Makamba ni kuwa Rais Kikwete hatokuwa na nguvu ya ushawishi ndani ya CCM katika kukichagulia Chama cha Mapinduzi Mgombea wa Urais..!:eek2:
  5. J

    Rais Kikwete safarini Ghana

    Ni jambo la uungwana kwa Rais aliyepo madarakani kuhudhuria mazishi ya ya Rais mwenzake ambaye amefariki akiwa madarakani. Aidha, tangu lini tumekuwa na tabia ya kuamua nani akamzike nani? Kwa mujibu wa miongozo ya kidini na kimaadili kuwazika wenzio ni jambo la sudi hivyo Kidiplomasia...
  6. J

    Dr. Chitage: Mashine moja ya CT scan ni sawa na bei ya Toyata shangingi moja!

    Kwa gharama alizotaja Hydrobenga Jr ukilinganisha na gharama ulizoainisha wewe za CT Scans, bado utaona kuwa bado bei ya L/Cruiser Shangingi moja hailingani na CT Scan Mashine. Hivyo kauli kwamba CT Scan ni aghali kwa Shangingi bado ni sahihi. Ingawa kimsingi, bado si sahihi kwa Mawaziri na...
  7. J

    Mabere Marando:Jambo hili ni zito,Werema sharti asikurupuke

    Binafsi, Jaji Werema alipoacha watu wa Zanzibar wajifanyie mambo mbalimbali kinyume na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na yeye akajikalia kimya tuu, niliamua kuwa si AG mahiri..! Mamlaka zilizomteua ziutazame upya uteuzi wake. Haitokuwa aibu kumbadilisha mara moja na kumpangia kazi...
  8. J

    Ndugu wa Ahmed Msangi: Maisha yetu Hatarini; Hemedi Katumiwa!

    Sina hakika na mfumo wa Tanzania wa Operesheni Maalumu. Ila kwingineko Maafisa wa Idara za Usalama hawafanyi Operesheni zao kwa kushirikiana na Polisi. Hivyo, nataka kuamini kuwa hata kwa Tanzania inaweza ni hivyo. Endapo nyuma ya sakata la Dr. Ulimboka kuna mkono wa TISS au Polisi, basi kwa...
  9. J

    Waziri Mary Nagu ni hatari kwa usalama wa Taifa

    Jamani, japokuwa mtoa mada hajaiweka wazi mada yake, lakini uamuzi wa kuanzisha Kiwanda ni lazima ufuate taratibu maalumu kwa mujibu wa sheria. Aidha, ili kuanzisha kiwanda kama cha mbolea ambacho kinatumia aina mbalimbali za kemikali hatari, ni lazima tathmini ya athari za kiwanda hicho kwa...
  10. J

    Padri alishukia Bunge, serikali | Adai nchi inaelekea kubaya

    Kuhusu ajali, Padri Mapunda anasema kuwa 'haya ni matokeo ya kushindwa kwa waliopewa madaraka ya kusimamia maeneo hayo'. Hii ni kweli kabisa, kwa kuongezea, na mimi nasema kuwa hayo ni matokeo pia ya kukosa utaratibu wa kuwajibika pale tatizo linapotokea. Jamani viongozi wetu, kuwajibika...
  11. J

    Shibuda aichana serikali ya CCM

    Hongera Shibuda. Ni kweli ni aibu kwa Bunge la nchi kama Tanzania, tena Bunge la Bajeti kuwa na viti tupu kama ambavyo huonekana katika Luninga. Hawa Waheshimiwa sijui huwa wanakwenda wapi. Hata kama wanakuwa na dharura za kibinadamu, ukifanya hesabu kitakwimu nagundua kuwa Bunge huwa na...
  12. J

    Ufisadi mkubwa umeanza kwenye gesi!!!Aibu kubwa!!!! Euro 126.2 Mil alizosaini JK ni rushwa!!!

    Honolulu, hebu tafadhali tuwekee document yoyote inayoonyesha serikali kupewa fedha hizo, au hata picha inayoonyesha Waziri husika au Kiongozi yeyote wa serikali ya Tanzania akipokea fedha, ili na sisi tuanze kuchambua jambo hilo. Vinginevyo, utakuwa umeanzisha mjadala ili tuchangie kama vipofu...
  13. J

    Kikwete: Utekelezaji wa ahadi zangu umeshaanza!

    Hongera sana Mheshimiwa. Tabu ni moja tuu, mazuri mengi unayoyafanya katika utekelezaji wa ahadi zako mara nyingi huwa hayawi 'captured' ipasavyo na Wasaidizi wako na kuwafikia Wananchi kama taarifa. Hujachelewa. Waelekeze waandae jedwali linaloonyesha 'updates' za kile ulichaahidi, wapi na...
  14. J

    Gazeti la Mwananchi lamuangukia Waziri Membe

    'A wise man changes his mind sometimes..'. Endapo Gazeti la Mwananchi kwa sababu yoyote ile iwayo, wamegundua kuwa waliandika habari ambayo haikuwa sahihi, ni uungwana kuomba radhi, hata kama kosa hilo la kibinadamu ni la muda mrefu. Big up Mwananchi..! Mmeonyesha njia, Vyombo vingine vya...
Back
Top Bottom