Ufisadi mkubwa umeanza kwenye gesi!!!Aibu kubwa!!!! Euro 126.2 Mil alizosaini JK ni rushwa!!!

yaani sasa hivi hii gas imepatikana huku utaona jinsi ambayo obama, cameroun watakavoanza kuja kuitembelea tanzania...hawa wazungu wanafiki kweli mi nawajua nyie kaeni chonjo muone...na wanajua tuna viongozi dhaifu wakipewa 10% tu basi wanasign mikataba....mtaniambia...
 
Honolulu,
hebu tafadhali tuwekee document yoyote inayoonyesha serikali kupewa fedha hizo, au hata picha inayoonyesha Waziri husika au Kiongozi yeyote wa serikali ya Tanzania akipokea fedha, ili na sisi tuanze kuchambua jambo hilo. Vinginevyo, utakuwa umeanzisha mjadala ili tuchangie kama vipofu, pasipo kuwa na uhakika wa dhati wa hicho ulicho 'post' hapa jamvini..!
 
Hakuna wizi hapo bali shukrani kwa kuoneshwa hiyo gas kuwa wakiitaka wanaipata kiurahisi na wamewapiga bao wenzao wenye uchu wa rasilimali za africa.
 
kuna wazungu wengine walishatoa taarifa za vigogo tz wanapesa bank za uswis kuna pesa huko zinahusiana na gas hii imekaaje? hapo jk hayupo au
 
quote_icon.png
By Honolulu

11:46 a.m. CDT, July 23, 2012

NAIROBI (Reuters) - The European Union has given Tanzania 126.5 million euros ($153.28 million) to improve road infrastructure and access to drinking water in the gas-rich east African nation, the European Commission said on Monday.

Agreements for the aid were signed during a visit to Tanzania by European Commission President Jose Manuel Barroso and other senior EU officials over the weekend, the European Commission said in a statement...
Unajua mwizi hakosi cha kujitetea. Sasa unaparamia mambo mengine ambayo hata hayahusiani na habari husika! Maskini kabisa wewe!!! Sasa hiyo "country stratergy paper" kwa uelewa wako ndiyo inayoruhusu rushwa!!!!??
Sasa wewe Honolulu unajichanganya yaani kwakuwa mwandishi kaitaja Tanzania kama nchi tajiri ya gas wewe moja kwa moja umeona mkataba unahusu gas au umeshindwa kutafsiri hapo kwenye bold? Sema usaidiwe.. kwenye habari hiyo hakuna ufisadi ila kwa nchi yetu ilivyo tunajua tumeliwa sana na hata kwenye gas tutaliwa tu kama bado hatujaliwa..!

Kwakifupi kwenye habari hiyo kinacho ongelewa ni msaada ilhali tu matajiri wa gas.. hasa huo ndio ujumbe unao onekana hapo na mwandishi alitaka kuufikisha kwa staili ile ya kukalia kiti cha dhahabu wakati umeshika bakuli la omba omba..!
 
porojo tu hizo, haujatoa ushahidi wa ufisadi.
Leta evidence co hisia zisizo na mashiko.
 
Back
Top Bottom