Amekula shiing' ngapi?..Msikimbie hoja!Huyo Padri anawataka Wabunge yeye ni nani kama siyo kuingilia kazi ya Taasisi zingine. Hivi yeye akiambiwa aache tabia ya kula sadaka sa Waumini atajisikiaje?
Padre Mapunda ni mwanasiasa. Nilikuwa nikienda Kanisani pale Manzese miaka ya nyuma basi siku ikiwa ni zamu yake kuhubiri inakuwa ni siasa mwanzo hadi mwisho. Hahubiri neno tokana na somo yeye akiingia ni siasa tu.