Recent content by Johnbosco Mligo

  1. J

    Kuna ukweli kuhusu ujauzto na hili?

    Hakuna ukweli juu ya hilo, mie nimeshuhudia wengi tuu waliozaa salama salimini!
  2. J

    Askofu afariki dunia!

    Mpendwa sana askofu mstaafu raymound mwanyika wa jimbo katoliki njombe amefariki dunia! Mwenyezi mungu ampkokee kwake na amuheasabie mema yake yote na kumsamehe madhaifu yake.
  3. J

    Dr Slaa amaliza ziara Marekani

    kichwa kichwa kichwa! Magamba mpo!!!
  4. J

    Dr Slaa amaliza ziara Marekani

    daa mtake msitake huy jamaa ni great! bila shaka wazungu wameelewa kuwa tz bado kuna vichwa maana walizoea kuyaona magamba yakitabasamu bila point! bravo sana DR SLAA WA UKWELI!!!
  5. J

    Tuachieni Nyerere Wetu

    naomba maoni yenu jamani! hivi nyerere angekuwa hai angekuwa bado CCM? kwa maana naona mawazo yake Mengi ni ya chadema!
  6. J

    Madai ya Dkt. Slaa kuhusu wafungwa wa kigeni kuletwa na kufanya kazi Tanzania

    Aliyelala usimwamshe, ukimwamsha utalala wewe! Watanzania tumelala, mwalimu wetu kipofu! Wachina so wajinga ati watuamshe!!!!!!!!!!!!! Wana wazimu?!1111
  7. J

    Mimi ni Mlokole nataka kuoa Mroma

    Inafaa sana kuishi bila kujitazama kuwa wewe ni bora zaidi kwa kuwa umeokoka! Suala hapa so kuokoka ama kutookoka mapenzi hayana hilo mpendwa wangu. Nakushauri kuwa msikivu kwa sauti ya mungu anayetuita sote kwake, mamoja umeokoka au laa! Kuokoka si kuwa ephata ama kuwa mkatoliki hata muislamu...
  8. J

    Zijue sababu zinazofanya wanawake wavae nusu uchi

    Ukweli mtupu! Debe tupu haliachi kutika!
  9. J

    Zijue sababu zinazofanya wanawake wavae nusu uchi

    Ni kweli, "debe tupu haliishi kutika"
  10. J

    Vijana wanena! Wasema Zitto, Makamba, Mbatia na Dr Hussein wanafaa urais 2015

    unaweza kuwarububi wajinga wengi lakini mwerevu mmoja anaweza kukurubuni wewe na kukugeuza lofa! nani hawajui hao wote uliowataja!
  11. J

    Kama sio DR. Slaa, Godbless Lema ndiye Rais 2015

    Hongera kwa kumsifu mtu akiwa hai. Maana watu wetu wamezoea kumsifu mtu akiwa kwenye Jeneza. tukiwa na raisi wa namna hii nchi hii itakwenda!
  12. J

    Nape aunguruma Njombe....

    wewe uliyeanzisha thread hii, yafaa sana uweke ukweli wa mambo kama ulivyo! kama watu mliowakodi kwa kuwapa pesa za mafuta ya pikipiki na magari ili waongeze uwingi wa watu, walifikia maelfu, basi haujakosea sana!
Back
Top Bottom