Kwa wavivu wa kuingia library kusoma vitabu bt wanaishia kusoma videsa wakiwa kitandani na assignments wanafanya kwa zimamoto ni GPA kubwa sana ambayo kuipata ni ndoto bt kwa wenye bidiini GPA inayopatika tu tena UDSM huko huko ambako wengi wanasema walimu wanakamia.
Ni chanzo cha mapato kwa halmashauri hicho. Hayo mambo Tanga ndio nyumbani kwake hizi tabia tena njia ya daladala kabisa jamaa wanablock for two days kucheza ngoma.
Achen majungu kwani ofisi za usalama hamzijui kwanini msiende kuripoti huko.
Kwa akili ya kawaida kwa mujibu wa mtoa uzi kwmba amewagonganisha wakuu wa idara wawili wa kike....kwa hali ya kawaida mkuu wa idara atakua 30+yrs sasa had amepewa hicho cheo awe bado hajitambui unatarajia nini so...
Mtoto ni mtoto tu hakuna cha she wala he. Akiwezeshwa anakuaa poa kabisa. Saf sana msichana rekodi yake anaonesha ana uwezo hakuna atakayethubutu kumwita Degree ya chup* kama ilivyozoeleka watu kucomment.
Ni wajinga tu wachache kama wewe ndio watatetea huo ujinga mtu anaandka "co" badala ya "so" na "xixi" badala ya "sisi" ni stylistics gani uliyofundishwa wewe? Labda kama ulifundishwa na mwalimu wa voda fasta aliyepata E ya english advance.
Hebu fuatilia comments za wazungu kwenye english...
Na weee ndio wale wale ina maana hujaona kuwa ni kiasi kikubwa sana ambacho amecopy kutoka kwa Mjaluo Obama?
Halafu hiyo comperative analysis ya muda na idadi ya maneno ua very wrong kumbuka english has fewer words to express something than swahili hasa pale unapotafsiri neno kwa neno kama...
Wakati nikiwa UDSM tulisimuliwa na mwalimu wetu ambaye ni profesa mahiri na mjuzi wa mambo mengi, kuwa kipindi cha vita baridi huko Ulaya/Ujerumani kuna "a russian spy" alikua anaitwa "Odessa", ambaye alibainika akiibia kuona taarifa za nchi nyingine kwa njia ya kuchungulia documents. And so...
Wajumbe wa BMK huko Dodoma wanaomba usiku na mchana bunge lisisitishwe wamalizie posho zilizobaki maana nyumba zao huenda hata zinasubiri posho ya vikao ili wafanye finishing. Wakisikia habari ya Mahakama itasikiliza maombi ya kusitisha bunge wanadata sana
Wewe ndio hujui dhana nzima ya uwakilishi katika mashauri na kesi katika vyombo vya maamuzi ya kisheria. Kumwakilisha mhalifu haina maan kuwa hajakosea bt ni haki yake kikatiba na nikumwezesha mtoa maamuzi/hakimu au jaji afike uamuz wa haki.
Kumbuka kuna mwenendo wa kufikia uamuzi, it requires...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.