KILIO CHETU
*Ujumbe huu uufikie umma.*
Mnamo tar 19/02/2016 Serikali kupitia Tume ya vyuo vikuu (TCU) ili vifungia vyuo vikuu vishiriki vya Mt Joseph tawi la Songea na Arusha wanafunzi hao walihamishiwa katika vyuo vikuu tofauti ikiwemo Chuo kikuu cha Dodoma.
Ni baada ya kuchukua hatua...
Ninaungana na rais kupiga uwepo wa vyuo vinavyo toa elim isiyo bora,lakn siungani nae katika swala la kubana badget hadi kwenye ishu ya msingi ya kuwasomesha watoto wa maskini.
wafilp 4:6 ."msijisumbue ktk neno lolote Bali katk kila neno kwa kuomba kusali pamoja na kushukuru"OMBA KWA AJIRI YA TANZANIA USICHOKE MUNGU ATAJIBU MAOMBI YAKO.
. KILIO CHETU
*Ujumbe huu uufikie umma.*
Mnamo tar 19/02/2016 Serikali kupitia Tume ya vyuo vikuu (TCU) ili vifungia vyuo vikuu vishiriki vya Mt Joseph tawi la Songea na Arusha wanafunzi hao walihamishiwa katika vyuo vikuu tofauti ikiwemo Chuo kikuu cha Dodoma.
Ni baada ya kuchukua hatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.