Watanzania tubadirike, tuache mambo ya kuponda, anachofanya Rais ni kwa faida ya taifa kwa ujumla.
Tum-support Rais wetu, Tuache siasa hazina maana. NB politics is a dirty game.
Sasa wewe ulikuwa unafurahia nchi yako kuingizwa mitini na wewe kupata shida. ni wewe kila siku unalalamika maisha magumu, Huyu ndiye kiongozi tuliye kuwa tunamhitaji.
Namshukuru Mungu kwa kutupatia Rais na Kiongozi bora Hon.Dr.John Pombe Magufuli. ukienda hata nje ya nchi ukiuliza nani Magufuli wanakuambia ni kiongozi bora. nk.Nabii hakubaliki kwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.