Recent content by John Musaria

  1. J

    Dkt. Mwaka aonyesha vyeti na vibali vyake

    Barafu ya moto umeongea kitu cha maana sana,watu wengi humu wanachangia bila kujua pointi ya kufungiwa Dr mwaka ni nini na yeye kaonyesha nini hapo kwenye vyeti, watu wanakimbilia kuchangia bila kuelewa vizuri
  2. J

    Naomba kujuzwa, TANESCO wanatumia muda gani kukuingizia umeme ukishalipia mkoa wa Kinondoni, Dar?

    Nguzo moja inajumuisha na mita yaani service line kwa mjini ni 325,000,kwa kijijini ni 17,000,ila vijiji wameviandika kila Ofisi ya Tanesco wilaya
  3. J

    Usidanganywe, jimbo la Chalinze ni 50 kwa 50

    Viva Lowassa,viva Ukawa
  4. J

    Magufuli azomewa tena. Ni Bunju, Boko, Tegeta na Mbezi

    Video iwekwe basi watu tushuhudie huko mbunju,boko,tegeta
  5. J

    Kulala kwa Lowassa Msibani kuwe Funzo kwa Wapiga kura Tanzania

    Kakosa cha kuongea,rais lowassa no matter what
  6. J

    Hofu kubwa ya CCM kushindwa urais imezidi kutanda mitaani

    Walibadilisha pa kufungia kampeni baada ya ukawa kusema wanafungia Dar,nyinyiem wakaona wanachemka wakahamia Mwanza
  7. J

    Reginald Mengi imarisha ITV

    Wametuboa sana ITV watu tunahamu na mabadiliko wanaleta mizinguo
  8. J

    Yaliyojiri viwanja vya Furahisha Mwanza: Mkutano wa kampeni ya Dr. John Magufuli - Oktoba 17, 2015

    Mwanza CCM kuzomewa kawaida,hapa ni mipangilio ukawa sana,hata hao wengine waliopo hapo ni aibu tu inawasumbua
  9. J

    Yaliyojiri viwanja vya Furahisha Mwanza: Mkutano wa kampeni ya Dr. John Magufuli - Oktoba 17, 2015

    Acheni ushabiki,unalinganisha watu hawa na wa lowassa?lowassa uwanja ulijaa na watu wengi tu hawakuweza kufika uwanjani na walikuja wenyewe,nyie pamoja na kuwasomba wapi
  10. J

    UKAWA, Hamjagundua waliohama kutoka CCM ni watu watano tu?

    Jamani naomba mwenye clip (video) ya magufuli alipochemsha kusema Mungu ailaze roho ya baba wa taifa Jakaya Mrisho Kikwete
  11. J

    Kilichojiri kwenye Uzinduzi wa Mtambo wa Umeme wa Gesi, Kinyerezi Dar es Salaam

    Manga mseke unaongea kwa upande wako ila sehemu kubwa Tanzania ina haki gani?mfano Mimi wa Mwanza mgao kama kawaida toma miezi huko nyuma na tupo tu tunasubiri October 25 ili tupumlie hapo
Back
Top Bottom