Barafu ya moto umeongea kitu cha maana sana,watu wengi humu wanachangia bila kujua pointi ya kufungiwa Dr mwaka ni nini na yeye kaonyesha nini hapo kwenye vyeti, watu wanakimbilia kuchangia bila kuelewa vizuri
Acheni ushabiki,unalinganisha watu hawa na wa lowassa?lowassa uwanja ulijaa na watu wengi tu hawakuweza kufika uwanjani na walikuja wenyewe,nyie pamoja na kuwasomba wapi
Manga mseke unaongea kwa upande wako ila sehemu kubwa Tanzania ina haki gani?mfano Mimi wa Mwanza mgao kama kawaida toma miezi huko nyuma na tupo tu tunasubiri October 25 ili tupumlie hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.