FahariPride
Senior Member
- Mar 12, 2015
- 117
- 41
Nadhani Mengi au Manji nk. ndo angekuwa mtu sahihi wa kuzindua hiyo mitambo maana tumeambiwa na mali ya mtu binafsi siyo ya serikali halafu hao ccm wangeenda kama wageni waalikwa bila kumsahau Kinginge.
...mchanganua wa gharama na ufadhili kwa maana ya umiliki umeelezwa kwenye Thread ya Pasco sasa ambacho hujaelewa ni nini?
Au una tatizo la kusoma habar ndefu? Kwami kwenye Thread imeeleza serikali kupitia Tanesco inamiliki share ngapi, lakini kwa vile kichwani umejaza mihemko ya kisiasa huoni.