Wewe unajidanganya bure, ukawa walijipanga kwenye kampeni na wajipange kupokea matokeo, hayo ni maamuzi ya wapigakura na si maamuzi ya kumpitisho Lowassa bila kupingwa
Huyo jamaa na lipost lake angekaa na kutafakari wala asingepost lakn sio chochote kilicho ccm ni kibaya bali kikitoka ni kizuri hata magufuli sasa anaonekana fisadi lowassa mtakatifu hii ni kazi kubwa mliyonayo, mjitahidi labda riziki ni yenu
Mimi nataka kuhusu hii sera ya mabadiliko ya serikali, je hawa ndugu zangu ambao matumizi yao hayana control yani hawana kupangilia bajeti kwenye matumizi yao je na hao pia wanahitai mabadiliko? hivi unakuta mtu ana laki moja mchana halafu hadi saa tatu usiku hana hela anaamka asubuhi hela ya...
wakati mwingine si kila swali unaweza kupata jibu kama unavyotaka wewe, jibu lako ni kwamba ukifuatilia historia ya ulimwengu Mungu ameishinda ya ushindani sana tangu mwanzo utakumbuka kuna wakati mbinguni kulikuwa na vita kati ya malaika wa Mungu na malaika waasi mwishowe malaika waasi...
Kumbuka biblia unapoitafsiri unatakiwa uwe makini sana vinginevyo itakuacha njiani, kumbuka andiko linaongelea maisha baada ya tukio na kumbuka baada ya kaini uzao uliendelea kwa adam na mkewe na hao ndio watu ambao alikuwa akiwahofia Kaini,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.