Recent content by john joachim

  1. john joachim

    Majibu ya hoja za 'wajumbe wa Baraza Kuu' waliowalipua Mbowe na Dr. Slaa

    Act- tanzania ni wachumia tumbo na matamko yao ya kizushi kila siku! Chama hakina hata ofisi halafu wanataka kujifananisha na chama kubwa cdm.
  2. john joachim

    CHADEMA Arusha Acheni uongo kwenye matangazo yenu ya mikutano

    mbona mimi MNGONI ila nipo chadema! acheni unafiki magamba nyie
  3. john joachim

    heslb mbona kimyaaaa...!

    mpaka tar 09/DEC/2013
  4. john joachim

    Chuo Kikuu Cha Jordan Morogoro chageuka kituo cha kulelea wajawazito.

    mbona hausemi kama na wewe mama yako alipata ujauzito wako akiwa chuo cha .........
  5. john joachim

    UVCCM Jordan kufanya uchaguzi wiki hii

    Acha kujidhalilisha wewe! nipo jordan(JUCOL) hakuna cha CCM wala magamba. hata ofisi za ccm hakuna! afadhari CDM JORDAN wao wana ofisi zao pale njia panda,nyie hamzidi hata 10 hapo juco. msalimieni jamaa yenu wa UVCCM-ilemela ambae anasoma hapo JORDAN mwaka wa tatu muulizeni kwanini ANTON DIALO...
  6. john joachim

    UVCCM Jordaan University katika kikao Usambara

    yani magamba hapa jordan hawana hata mwenyekiti wala katibu! ni uongo mtupu
  7. john joachim

    Pendekezo kwa Rais Kikwete kuhusu wanafunzi waliofeli...

    Issue ni POOR GOVERNMENT POLICY ktk elimu haiwezekani mtoto akafaulu kujiunga kidato cha kwanza halafu hawezi kuandika wala kusoma hata kitabu cha hadithi cha darasa la tatu! Huyo hata akirudia mtihani mara 100 ni kazi bure! Kwa mfano mkuu wa wilaya moja uko mkoa wa Mbeya alisema kwamba ktk...
  8. john joachim

    CHADEMA wanaingilia Ngome ya CUF - Mtatiro

    huyo mtatiro amesahau ya IGUNGA?
  9. john joachim

    Mpoto kugombea ubunge

    Mbona JOTI wa ze-comedy nae jana kupitia redio clouds fm katangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la MASASI-MTWARA kupitia chama cha mafisadi (CCM )
  10. john joachim

    Mpoto kugombea ubunge

    Mbona JOTI wa ze-comedy nae jana kupitia redio clouds fm katangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la MASASI-MTWARA chama cha mafisadi (CCM​ )
  11. john joachim

    CHADEMA yazindua M4C mgawanyo wa sera ya majimbo 10

    mbona mkoa wangu wa RUKWA​haupo hapo jamani
  12. john joachim

    Wananchi Mtwara Mjini wafanya maandamano makubwa kupinga gesi kusafirishwa kwenda Dar!

    Acheni ukanda nyie wamakonde! Gesi ni kwa watanzania wote!
  13. john joachim

    Uthibitisho wa kazi maalum ya Ben Saanane na hujuma za Dr. Slaa kwenye siasa za Juliana Shonza

    nyie wote ni wasaliti ktk chama!tuachieni chama chetu
Back
Top Bottom