Amani iwe nanyi,
Mimi binafsi imenishangaza na kunishtua kuona kwamba mpaka sasa hakuna yoyote aliejaribu hata kujitokeza tu kuchkua fomu.
Kuna maswali mengi sana fikirishi katika hili. Je ni kweli viongozi wa juu wa chama ndio watahusika moja kwa moja kutoa jina pendekezwa na kumpa green...
Karibu sana.
Ni ihsani tu ambayo kama binaadam unastahili, ili kwa namna moja au nyengine ikufariji, ikufanye uzidi kujithamini, ikukumbushe kwamba wazuri na wema bado wapo, wenye huruma na wanaojali wataendelea kuwepo mbali na ukweli kwamba dunia ya sasa maadili yake si kama ya zamani.
Upendo...
Karibu sana jukwaani.
Kuna mengi ya kujifunza, kufariji, kuhuzunisha, kustarehesha, kuliwaza, kupumbaza, kufedhehesha, kukinaisha, kufkirisha, kukirihisha, kustaajabisha na hata kuhuisha.
Karibu sana jiskie huru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.