John Doe Kellerman
Member
- Nov 27, 2019
- 75
- 112
Amani iwe nanyi,
Mimi binafsi imenishangaza na kunishtua kuona kwamba mpaka sasa hakuna yoyote aliejaribu hata kujitokeza tu kuchkua fomu.
Kuna maswali mengi sana fikirishi katika hili. Je ni kweli viongozi wa juu wa chama ndio watahusika moja kwa moja kutoa jina pendekezwa na kumpa green light huyo mpendekezwa kwenda kuchukua fomu??
Je, ni kweli wenzangu na mimi wanaogopa kiasi ya kwamba wanahisi akichkua fomu halafu "akikatwa" hata nafasi ya uwaziri anaweza akaikosa hapo baadae?
Ngoja niache mjadala uendelee lakini majina yangu matano ni kama ifuatavyo
Mohamed Aboud
Hussein Ali Hassan
Makame Mbarawa
Haji Omar Kheir
Pereira Silima
Mimi binafsi imenishangaza na kunishtua kuona kwamba mpaka sasa hakuna yoyote aliejaribu hata kujitokeza tu kuchkua fomu.
Kuna maswali mengi sana fikirishi katika hili. Je ni kweli viongozi wa juu wa chama ndio watahusika moja kwa moja kutoa jina pendekezwa na kumpa green light huyo mpendekezwa kwenda kuchukua fomu??
Je, ni kweli wenzangu na mimi wanaogopa kiasi ya kwamba wanahisi akichkua fomu halafu "akikatwa" hata nafasi ya uwaziri anaweza akaikosa hapo baadae?
Ngoja niache mjadala uendelee lakini majina yangu matano ni kama ifuatavyo
Mohamed Aboud
Hussein Ali Hassan
Makame Mbarawa
Haji Omar Kheir
Pereira Silima