Vyombo vya Magharibi vyaunga Mkono kauli ya Rais Magufuli vyaishangaa WHO

comrade wetu

JF-Expert Member
Nov 5, 2018
964
605
Baadhi ya vyombo vya Magharibi vimeelewa kwanini Rais wa Tanzania aliamua kuingilia kati ubora na ufanisi wa vifaa vya kupima virus vinavyoleta ugonjwa wa Corona.

Mh. Rais Magufuli kwa msaada wa vyombo vyake aliamua kutilia shaka majibu mengi na matokeo ya vipimo vya ugonjwa wa corona na kuonyesha wasiwasi wake juu ya ubora wa vifaa tiba hivyo pale alipoamua kupeleka baadhi ya sampuli mbalimbali ikiwemo za Papai, Mbuzi na Kware kwenye maabara ya Taifa na vyote kuwa na majibu ya positive maana yake sampuli hizo zimepata maambukizi hali inayotia shaka ubora wa vifaa au wapimaji.


 
Baadhi ya vyombo vya magharibi vimeelewa kwann Rais wa Tanzania aliamua kuingilia kati ubora na ufanisi wa vifaa vya kupima virus vinavyoleta ugonjwa wa Corona, Mh Rais Magufuli kwa msaada wa vyombo vyake aliamua kutilia shaka majibu mengi na matokeo ya vipimo vya ugonjwa wa corona na kuonyesha wasiwasi wake juu ya ubora wa vifaa tiba hivyo pale alipoamua kupeleka baadhi ya sampuli mbalimbali ikiwemo za Papai,Mbuzi na Kware kwenye maabara ya Taifa na vyote kuwa na majibu ya positive maana yake sampuli hizo zimepata maambukizi hali inayotia shaka ubora wa vifaa au wapimaji.
Attachments:
VID-20200516-WA0027.mp4
File size4.9 MB
 

Attachments

  • VID-20200516-WA0027.mp4
    4.9 MB
  • VID-20200516-WA0001.mp4
    888.5 KB
Kama kuna mtu anawamini wachina na WHO huyo ni wakutilia shaka nimeona US amesema atatoa partial fund kwa WHO ni vizuri mana izo funds zinasaidi kupambana na magongwa mengi tu na watoto hupata pia chanjo za magonjwa kama measles, Hata zile aids za Jack ma baada ya huu mlipuko zinatia shaka sana sana sidhani ata kama US alizingiza ziwe consumed na Raia wake, China kampa matango pori WHO mpaka msala umepamba moto ndio WHO anasanuka kuwa china haifai tena Tedro analia lia tu mara sijui yeye ni muafrika porojo kibao ajue tu ni incompetent kwenye hio post na akae pembeni, magufuli yupo sahihi sana anapambana kuhakikisha maisha yanasonga na watu wanaishi leo tukijifungia ndani watu mkaambiwa mshahara ni nusu mtakubali?
 
Ya kuchunguza mashine ya kupima covid 19 pale maabara ya taifa kwani hujui? Au unajifanya umesahau. Mliyoipelekea mapapai

Kwa kweli sijui kiongozi, nitajuaje huku Kindimba chini Mbinga nachoka kwa kilimo cha kahawa, labda wahusika watatoa majibu muda ukifika
 
Baadhi ya vyombo vya magharibi vimeelewa kwann Rais wa Tanzania aliamua kuingilia kati ubora na ufanisi wa vifaa vya kupima virus vinavyoleta ugonjwa wa Corona, Mh Rais Magufuli kwa msaada wa vyombo vyake aliamua kutilia shaka majibu mengi na matokeo ya vipimo vya ugonjwa wa corona na kuonyesha wasiwasi wake juu ya ubora wa vifaa tiba hivyo pale alipoamua kupeleka baadhi ya sampuli mbalimbali ikiwemo za Papai,Mbuzi na Kware kwenye maabara ya Taifa na vyote kuwa na majibu ya positive maana yake sampuli hizo zimepata maambukizi hali inayotia shaka ubora wa vifaa au wapimaji.
Attachments:
VID-20200516-WA0027.mp4
File size4.9 MB

Naona mnachanganya mambo. vilivyopingwa ni Rapid test kits na siyo RT-PCR ambayo sisi tunatumia. Ushajiuliza kwanini mpaka leo ripoti ya tume ya ummy hatupewi? Infact ilikuwa gia ya kutuhadaa ili wasitoe takwimu za COVID-19.
 
Vyombo vya rightwing vinavyochukia lockdown ndo vinapigia chapuo conspiracy theories mbalimbali za kudiscredit lockdown
JPM ni kama kawapa ammunition
 
Back
Top Bottom