Recent content by JOHN-2030

  1. J

    Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

    Mkuu lumia nimeku pm, naomba tuzungumze
  2. J

    Karibuni kwa maswali yote ya kiafya

    Mama Yangu anasumbuliwa na ugonjwa ambao anahisi anaungua kwenye mashavu, mabwegani, na kichwani usawa wa utosi. Wakati mwingine akiwa anaungua hivyo kuna vitu vinamchoma kama vichomi kichwani. Pia anakuwa anakaukiwa shingoni kama ana kikohozi kikavu. Hali hii ya kuhisi kuungua ni ya muda...
  3. J

    Tatizo Liko Wapi (Msaada tadhali)

    Ninahisi ninaungua Kwenye Mashavu, Mabegani, na kichwani usawa wa Utosi. Wakati Mwingine vichomi vinanichoma kichwani. Sijajua tatizo liko wapi. Nimekunywa dawa sana ila bado tatizo linajirudia.
  4. J

    Jifunze kilimo cha nyanya

    kuna sehemu nimepita jamaa analima nyanya aina ya assila kilimo cha mvua kawaida bila Matuta(single row). katika spacing zifuatazo..!1.30*60, 2.60*75, 3.60*90,..!Naomba kujua mahusiano ya hizo spacing na mavuno..!
  5. J

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Je kuwekea miti kunaplay part katika kuongeza uzalishaji..?
  6. J

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Mkuu horticulturalist, hivi recommended spacing ya hizi semi determinate mfano assila, eden, jarrah rz, open field..!ni IPI nzuri Ikiwa 1.utalima bila Matuta, 2.utatumia mifereji, 3.utatumia matuta
  7. J

    Hatimaye Nimepata Heka 5 Msolwa

    Mkuu udongo wa ukanda huo tikiti pia linakubali..!kipindi cha mvua lakini..!ushauri tengeneza miundombinu ya kuvuna maji ya mvua kwa ajili ya umwagiliaji coz ukanda huko mvua ni nyingi..!watu wanalima vuli na masika wanapata..
  8. J

    Hatimaye Nimepata Heka 5 Msolwa

    Mkuu bado mashamba yapo..?bei gani kwa ekari..?
  9. J

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Ni kweli Mkuu..!naona Pm inazengua naomba unicheki kwa hii 0655373129
  10. J

    Kilimo cha Kisasa cha Mahindi: Mbegu bora, Mbolea bora na magonjwa

    Mkuu kisima nicheki kwa 0655374581 naona PM inanizengua
  11. J

    Yanayojiri nchini kwa sasa ni laana. Damu ya Lissu inaanza kuitia nuksi nchi

    Mkuu kisima naomba unicheki kwa 0655374581
  12. J

    Jifunze kilimo cha nyanya

    hongereni wakuu mjadala ulikuwa mzuri tumepata manondo Sio ya nchi hii
  13. J

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Mkuu msimu huu unalima nyanya..?na ni mwezi wa ngapi kilimo cha nyanya kinaanza maeneo hayo..!natamani nije huko..!naomba uni pm namba yako kama hutojali..!
Back
Top Bottom