I know Every type of Tattoo, hata pengine wew usizo zijua but... niliuliza kwa wakazi wa mwanza Ungesema nenda makoroboi tu... Hayo mengine hayana maana ndg yng ... Any way Ahsante kwa ushauri weko pia siwez mchukia yeyote.
Naheshim sana mawazo ya kila moja
Siku nyingine ukiwa unafanya Uandishi jaribu kuzingatia baadhi ya fact... yeah thread yako nimeipenda inaonekana unamfatilia sana chibu...
naomba niku jibu pasipo kuwa na Ushabiki nimependa sana jinsi ulivyo tiririka hapo juu kuhusu Chibu
But Nyimbo ya Kokoro sio ya Diamomd na mwenye Haki...
Nakiona kifo tayari... kuna watu wanaonge sijapata kuona aiseeee Yangu macho make nahitaji kujifunza zaidi Na kuelewa so siwezi changia chichote zaid ya kuwapa moyo wale wote wanao jitahidi kutu patia Articles zenye kutujenga.... ila kuna point nimesikia kama ukimwi haupo duuu.... nasubiri...
Habarin Wakuu
Nahitaji msaada kwa yeyote alioko mwanza Mm ni mgeni kwenye maswala ya kuchora tattoo naomba msaada kwa yeyote anaye fahamu wanapo chorea Anipe ramani nataka kuchora jina la mwanangu
Habari za mihangaiko ya siku nzima wakuu Hoja yangu haina umuhimu Sana lakini nahitaji msaada.
Kwanza napenda kuwashukuru sana kwa kupoteza muda wenu na kuchangia mada yangu.
Leo ndio siku ya kwanza ya mimi kupost JF kuomba msaada mara nyingi imekuwa ikitokea mimi nikichangia but leo iko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.